PICHA ZINGINE ZA LOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa ndani ya Daladala alilopanda kutokea Gongo la Mboto Mwisho mpaka Pugu Kajiungeni jijini Dar es salaam,mapema leo asubuhi.
Mh. Lowassa akishuka kwenye daladala.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboLOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO
9 years ago
VijimamboPICHA ZINGINE ZA UKAWA WAZINDUA KAMPENI ZAO JANGWANI JIJINI DAR LEO
Umati wa wakazi wa Jijini Dar es salaam, ukiwa umefurika kwa wingi kwenye viwanja vya Jangwani kuwalaki Mgombea Urais wa Jamhuri ya...
9 years ago
MichuziLOWASSA APANDA DALADALA KUTOKA GONGO LA MBOTO MPAKA PUGU KAJIUNGENI JIJINI DAR LEO
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
Mmoja wa abiria akiongea na dereva wa kibasi kidogo kuangalia kama kuna uwezekano wa kupata usafiri maeneo ya Mwenge jijini Dar.
Katika kituo cha mabasi cha Mpakani eneo la...
9 years ago
MichuziDALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ASUBUHI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
Njoo tucheze “Kikuku” style zingine kibao na Skylight Band ndani ya Thai Village leo
Vijana watanashati wa Skylight Band: Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village -Masaki jijini Dar. LEO PIA SIO YA KUKOSA ITAKUWA ZAIDI YA JANA..!
Maman nangayi e napeli moto…maman nanga a napeli moto (x2)…Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo sambamba na Aneth Kushaba AK 47 wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band.
Aneth Kushaba AK47 kwenye hisia kali.
Nani kama...
9 years ago
MichuziLOWASSA AHUTUBIA BARAZA LA WANAWAKE WA CHADEMA LEO JIJINI DAR
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Lipumba,wafuasi 32 wa CUF watiwa ndani Jijini Dar leo
10 years ago
MichuziLOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS NDANI YA CHAMA HICHO HIVI PUNDE JIJINI DAR