Lipumba,wafuasi 32 wa CUF watiwa ndani Jijini Dar leo
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata wananchama wa Chama cha Wananchi CUF 32 akiwemo Mwenyekiti Taifa wa chama hicho,Profesa Ibrahim Lipumba kwa kufanya maandamano ambayo si halali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL04 Feb
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Sura mbili za Ibrahim Lipumba ndani ya Cuf na ukawa
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Profesa Ibrahim Lipumba ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku suala hilo likigubikwa na sura mbili na kauli tata za kiongozi huyo.
Profesa Lipumba amefikia uamuzi huo jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kuhitimisha tetesi zilizokuwa zikimuhusisha na kung’atuka katika uongozi wa cha hicho.
Alisema kuwa ameikabidhi Ofisi ya Katibu Mkuu, barua ya kung’atuka nafasi...
10 years ago
KwanzaJamii22 Sep
Wafuasi CCM, CUF watwangana Dar
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Wafuasi CCM,CUF watwangana Dar
10 years ago
GPLLOWASSA AHUDHURIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CUF JIJINI DAR LEO
11 years ago
MichuziBaraza Kuu la Uongozi CUF Taifa lakutana jijini dar es salaam leo
10 years ago
MichuziLOWASSA AHUDHULIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF, JIJINI DAR LEO
10 years ago
MichuziTAARIFA YA CHAMA CHA CUF KUFUATIA MWENYEKITI WAO KUTANGAZA KUJIUZULU LEO JIJINI DAR
Sisi kama Chama tumezipokea taarifa hizo na tunayaheshimu maamuzi yake. Ni haki yake ya kikatiba na haki ya kidemokrasia kufanya maamuzi anayoyaona yana maslahi kwake.
Bila shaka, Profesa Ibrahim Lipumba amekifanyia kazi kubwa Chama chetu katika miaka 16 ambayo...
9 years ago
VijimamboLOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO