BARAZA LA USALAMA LA UN LAJARIBU KUKUBALIANA KUHUSU AZIMIO LA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-c0j5maEd_uQ/Xrv4fcNEiQI/AAAAAAAAyv0/YKf6w5HvG4cM5uXFqC7H6cyXlZSiTgCzQCLcBGAsYHQ/s72-c/59b64f24b6554.jpg)
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linajaribu tena kufikia makubaliano katika azimio lake la kwanza tangu janga la virusi vya corona kuanza duniani zaidi ya miezi miwili iliyopita, lakini mzozo kati ya Marekani na China kuhusiana na kulitaja shirika la afya ulimwenguni WHO bado haujatatuliwa.
Marekani siku ya Ijumaa ilipinga pendekezo la azimio lililotayarishwa na Ufaransa na Tunisia baada ya wanadiplomasia kusema wamekubaliana na lugha iliyotumika na China ambayo haitaji moja kwa moja...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--H9mFN8spuM/XkUVfvvRcxI/AAAAAAAAu0I/NWcIWT2loTg5t-XN-LVsURrABChCPVb2QCLcBGAsYHQ/s72-c/46840670_303.jpg)
BARAZA LA USALAMA LAIDHINISHA MUONGOZO KUHUSU AMANI LIBYA
![](https://1.bp.blogspot.com/--H9mFN8spuM/XkUVfvvRcxI/AAAAAAAAu0I/NWcIWT2loTg5t-XN-LVsURrABChCPVb2QCLcBGAsYHQ/s640/46840670_303.jpg)
Azimio lililoidhinishwa na baraza la Usalama pia limetoa wito wa kuwapo na usitishaji wa kudumu wa mapigano nchini Libya, ambako makubaliano tete ya kusitisha mapigano yamekuwapo tangu Januari mwaka huu.
Azimio hilo lililotayarishwa na Uingereza ,...
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA (CHILDREN AND ARMED CONFLICTS IN AFRICA) JIJINI ADDIS ABABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0bgxfRLJTw/Xu8ooOB6fZI/AAAAAAALuzg/_18wmJJA_isqPVRzT91_rkVKL0S-30xMACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200621-WA0041.jpg)
Baraza la wazazi Njombe lapitisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli
Akizungumza na Wajumbe wa Baraza hilo kwenye Ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Njombe Ndg, Hussein Mwaikambo Katibu wa Jumuiya hiyo alisema, katika Kipindi cha Miaka mitano Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s72-c/001.POLISI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s1600/001.POLISI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HPgp8vM0-gE/VAW3rEnRHOI/AAAAAAAGbYA/xdP9i7U8zsE/s1600/k2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wop39smKmR8/Va_A6405n_I/AAAAAAAHrIM/6ShASCOBoj4/s72-c/m1.png)
TAARIFA KWA UMMA (AZIMIO NA. 69/246 LA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wop39smKmR8/Va_A6405n_I/AAAAAAAHrIM/6ShASCOBoj4/s1600/m1.png)
Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (United Nations) Mhe. Ban Ki-moon tarehe 16 Machi, 2015 alimteua Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kuwa Mwenyekiti wa jopo huru la wataalamu wa kutafuta ukweli zaidi juu ya kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Hayati Dag Hammarskjöld, kifo hicho kilichotokea kwenye ajali ya kusikitisha ya ndege mnamo tarehe 17-18 Septemba, 1961 maeneo ya Ndola,...
11 years ago
GPLAIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI