Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona appoint Luis Enrique as new coach

Par6504918

Barcelona on Monday appointed their former captain and outgoing Celta Vigo manager Luis Enrique as their new coach to replace Gerardo Martino after a disappointing trophyless season, the club said.

Enrique, 44, scored 109 goals in 300 appearances for the Catalan team in eight years after joining from eternal rivals Real Madrid in 1996, and also had great success in three seasons as Barca B coach.

Now Barca board is betting on him bringing the 2012-2013 title holders back to glory after...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LUIS ENRIQUE ASAINI MIAKA 2 KUIFUNDISHA BARCELONA

Kocha mpya wa Barcelona, Luis Enrique Martínez García. BODI ya wakurugenzi wa timu ya FC Barcelona imethibitisha kuwa Mhispania Luis Enrique Martínez García ndiye kocha mpya wa timu hiyo. Enrique mwenye umri wa miaka 44 aliyewahi kuichezea klabu hiyo akitokea kwa mahasimu wao Real Madrid mwaka 1996, atasaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo yenye maskani yake jijini Barcelona. ...

 

9 years ago

StarTV

Kocha Luis Enrique Asema  ataongeza nguvu ya usajili Barcelona.

 

 Kocha Luis Enrique Martinez wa FC Barcelona amesema kuwa hana shaka na kiwango bora cha timu yake msimu huu  na kubainisha kuwa ana mpango wa kukiongezea nguvu zaidi katika dirisha dogo la usajili la janauri mwakani.

Kocha huyo ameweka wazi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maandalizi ya mechi ya ligi kuu ya La liga dhidi Real Sociedad kwenye uwanja wa Nou Camp.

Amesema hana hofu  kwa kuwa  siku zote anataka wachezaji wake kuwa fiti licha  ya kukumbwa na majeruhi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Huyu hapa ndiyo Zinedine Zidane mpya kwa mujibu wa Kocha wa Barcelona, Luis Enrique

Kiungo chipukizi wa Barcelona, Sergi  Roberto

Kiungo chipukizi wa Barcelona, Sergi Roberto.

Na Rabi Hume

Kocha wa klabu ya Barcelona, Mhispania Luis Enrique amemtaja kiungo anayechupukia katika kikosi chake Sergi Roberto,23 kama Zinedine Zidane mpya kutokana na aina ya uchezaji wake.

Enrique amesema hayo baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi kuu ya Hispania maarufu kama Primera Division uliyoikutanisha timu yake ya Barcelona na klabu ya Getafe na Barcelona kuibuka na ushindi wa goli 2 kwa bila, magoli yakifungwa na Luis Suarez na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Luis Enrique aongeza mkataba Barca

Mkufunzi wa timu ya soka ya Barcelona Luis Enrique ameongeza mkataba mpaka mwaka 2017

 

11 years ago

BBC

Angola appoint Filemon as new coach

Angola name Romeu Filemon as the new national team coach, handing the 49-year-old a two-year contract.

 

10 years ago

BBC

Ahly appoint Mabrouk as new coach

Egyptian champions Al Ahly install Fathi Mabrouk as their new coach to replace sacked manager Juan Carlos Garrido.

 

11 years ago

BBC

Botswana to appoint English coach

Botswana are set to appoint Englishman Peter Butler as their new national team coach, BBC Sport understands.

 

10 years ago

BBC

Egypt appoint Cuper as new coach

Argentine Hector Cuper is appointed the new coach of Egypt, the country's Football Association reveals on Monday.

 

10 years ago

BBC

Guinea appoint Fernandez as coach

Former France international Luis Fernandez becomes the new coach of Guinea, signing a two-year contract.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani