Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARUA YA KUOMBA KAZI ILIYOANDIKWA KWA KIMOMBO


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waandika barua kuomba kuacha shule

>Serikali ilianzisha mpango wa kujenga shule za sekondari za kata moja ya mikakati  ikiwa kupunguza adha ya umbali kwa wanafunzi na kusogeza huduma za elimu jirani na wananchi ili kila mtoto apate haki ya kupata elimu.

 

5 years ago

Michuzi

VIGOGO SITA WA KAMPUNI YA VIETTEL TANZANIA NA HALOTEL WAMWANDIKIA BARUA DPP KUOMBA KUINGIA MAKUBALIANO YA KUKIRI MASHTAKA YA KUISABABISHIA TCRA HASARA YA SH BILIONI 75

Na Karama Kenyunko

VIGOGO sita wa Kampuni ya Viettel Tanzania akiwemo Mkurugenzi wa Halotel, Son Nguyen (46), wameandika barua kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), wakiomba kuingia makubaliano ya kukiri mashtaka ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 75.

Mbali na Nguyen washitakiwa wengine ni Nguyen Minh (40)  na Vu Tiep ambao wote ni Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) Halotel,...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira

Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.

JB aliandika;

“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”

Picha :JB akiongea na...

 

9 years ago

Vijimambo

HAPA KAZI TU NA SAFARI YA MATUMAINI WAKIWA KWENYE MICHAKATO YA KUOMBA KURA

 Mkogombea Urais kupitia Ukawa akimnadi mkombea ubunge katika moja ya harakati za kuomba kura huko mikoani.
Mgombea Urais kupitia Cha Cha Mapinduzi akimnadi mgombea mchaka chaka shinja kwa nguvu zote.

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee: Hata ndoa yangu ikivunjika haimaanishi mnitafutie story za kunichafua, ajibu kwa urefu habari iliyoandikwa na gazeti la udaku

Lady Jay Dee, jana (August 30) kupitia Instagram alijibu kwa ufupi habari iliyoandikwa na gazeti la Risasi yenye kichwa cha habari ‘Jide, dogo dogo gumzo mjini’, (Ingia hapa).Leo kupitia ukurasa wake wa Facebook amejibu kwa urefu zaidi juu ya habari hiyo. Hivi ndivyo alivyoandika Jide: Zamani ilikuwa haipo sehemu ya kujitetea, gazeti likishaandika ndio limeandika. […]

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Baada ya Masomo,Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira

Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.

JB aliandika;

“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”

Picha :JB akiongea na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani

unnamed (3)

Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.

Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...

 

9 years ago

Michuzi

BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN


Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, 

Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.

Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani