BARUA YA KUOMBA KAZI ILIYOANDIKWA KWA KIMOMBO
![](http://1.bp.blogspot.com/-BN6x1ONEFVg/U28ofJpR5NI/AAAAAAAFg8o/XOAB2sYaJXk/s72-c/ap.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-U38xT6Q8dJ0/VF5xcfYzfPI/AAAAAAADMnI/ECXDdMv2dys/s72-c/Sitti-Mtevu.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Waandika barua kuomba kuacha shule
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uI2lPW-aJ3U/XrABJdd4lZI/AAAAAAALpCc/8Kkjo3HDTysrhjc93J8DgW2J1EJDEzysQCLcBGAsYHQ/s72-c/2febdcd5-8a7a-453f-8233-20f9267e3654.jpg)
VIGOGO SITA WA KAMPUNI YA VIETTEL TANZANIA NA HALOTEL WAMWANDIKIA BARUA DPP KUOMBA KUINGIA MAKUBALIANO YA KUKIRI MASHTAKA YA KUISABABISHIA TCRA HASARA YA SH BILIONI 75
VIGOGO sita wa Kampuni ya Viettel Tanzania akiwemo Mkurugenzi wa Halotel, Son Nguyen (46), wameandika barua kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), wakiomba kuingia makubaliano ya kukiri mashtaka ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 75.
Mbali na Nguyen washitakiwa wengine ni Nguyen Minh (40) na Vu Tiep ambao wote ni Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) Halotel,...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
9 years ago
VijimamboHAPA KAZI TU NA SAFARI YA MATUMAINI WAKIWA KWENYE MICHAKATO YA KUOMBA KURA
10 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee: Hata ndoa yangu ikivunjika haimaanishi mnitafutie story za kunichafua, ajibu kwa urefu habari iliyoandikwa na gazeti la udaku
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Baada ya Masomo,Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani
Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...
9 years ago
Michuzi12 Nov
BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN
![](https://scontent-waw1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11215818_1645853955683038_3394542812123695413_n.jpg?oh=954015a4699df4509dcc0343f155dbec&oe=56EE4B6D)
Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...