BASATA kumweka ‘kitimoto’ Msanii Shilole kufuatia kukiuka maadili kwenye onesho lake nchini Ubelgiji
Msanii Shilole (kushoto) na kulia ni Katibu Mkuu wa Basata, Godfrey Mngereza
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini limeona picha chafu na zisizo na maadili za Msanii Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole alipokuwa akifanya onesho lake nchini Ubelgiji hivi karibuni.
Katika picha hizo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-usXm2UWv20w/VVRoFKudGtI/AAAAAAAHXPA/jpnb53d7P5U/s72-c/d.jpg)
BASATA YALAANI TABIA CHAFU NA ISIYO NA MAADILI ILIYOONESHWA NA MSANII SHILOLE KWENYE ONESHO LAKE NCHINI UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-usXm2UWv20w/VVRoFKudGtI/AAAAAAAHXPA/jpnb53d7P5U/s400/d.jpg)
Katika picha hizo ambazo zimelaaniwa na watanzania wengi nchini kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii, Shilole anaonekana akiwa Jukwaani huku viungo vyake vya sehemu za siri vikiwa hadharani na zaidi akionesha tabia ambazo kwa kiasi kikubwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXULQ0k9nzqIarQH6At2Z-K2HI5nlyPB0AfIoYpxhoIj3YYsfycXNb5BXQR1W5u7-TxV0yu*i3tyxhZct0xnWTgs/basata1.jpg?width=650)
BASATA YALAANI TABIA CHAFU NA ISIYO NA MAADILI ILIYOONESHWA NA MSANII SHILOLE KWENYE ONESHO LAKE NCHINI UBELIGIJI
10 years ago
Vijimambo14 May
BASATA YALAANI TABIA CHAFU NA ISIYO NA MAADILI ILIYOONESHWA NA MSANII SHILOLE
![](http://api.ning.com/files/D*jRkBJZGXULQ0k9nzqIarQH6At2Z-K2HI5nlyPB0AfIoYpxhoIj3YYsfycXNb5BXQR1W5u7-TxV0yu*i3tyxhZct0xnWTgs/basata1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/D*jRkBJZGXVdywA7nGMB485eH4evdm350TVOKFXw0W-CYRtVmLTGbhAhCg9wHSNSbUyjOae0ZYEwOjByU87nnOS-4xWBP1vv/SHISHIBABY2.jpg)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini limeona picha chafu na zisizo na maadili za Msanii Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole alipokuwa akifanya onesho lake nchini Ubeligiji hivi karibuni.
Katika picha hizo ambazo zimelaaniwa na watanzania wengi nchini kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii, Shilole...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Basata yamfungia Shilole kwa uvunjifu wa maadili
10 years ago
Habarileo12 Jan
UVCCM kumweka kitimoto Nyalandu
SAKATA baina ya Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini limechukua sura mpya baada ya kikao cha Baraza la Jumuiya hiyo kuazimia kuitisha mkutano mkuu ili kumjadili.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-idD5LOTE128/VTCuQ0-mESI/AAAAAAAHRng/TOd5rUoIyFQ/s72-c/ChigweleCheMundugwao.jpg)
BASATA YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MSANII CHIJWELE CHE MUNDUGWAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-idD5LOTE128/VTCuQ0-mESI/AAAAAAAHRng/TOd5rUoIyFQ/s1600/ChigweleCheMundugwao.jpg)
Che mundugwao ni msanii wa muziki wa asili na mdau wa muda mrefu wa sekta ya Sanaa nchini. Amekuwa na mchango mkubwa katika kukuza muziki wa asili nchini na baadaye kupitia Chama cha Muziki wa asili (TAFOMA)...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_3115.jpg?width=650)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU NA MAADILI KWENYE KAMPENI
10 years ago
GPLNUH MZIWANDA NA SHILOLE WATUA NCHINI UBELGIJI TAYARI KWA SHOW YAO YA JUMAMOSI 9.5.2015
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Baraza la Maadili kumweka kikaangoni Ngeleja
Aziza Masoud na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
BARAZA la Maadili ya Utumishi wa Umma jana liliahirisha shughuli za kumhoji Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma, baada ya eneo la mahojiano, Ukumbi wa Karimjee kutumika kwa shughuli za kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba.
Kutokana na hali hiyo, baraza hilo litaendelea na shughuli zake leo ambapo Mujunangoma atahojiwa kutokana na tuhuma za kupokea...