BENJA MWAIPAJA AMWAGA CHOZI WAKATI WA MUMUAGA BALOZI LIBERATA MULAMULA
Benja Mwaipaja akionyesha kutokwa na chozi wakati Balozi Liberata Mulamula alipowaaga Watanzania nyumbani kwake Bethesda, Maryland siku ya Jumamosi Julai 25, 2015.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AKIBIDHIWA OFISI RASMI NA BALOZI JOHN HAULE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zcfen7qB52M/VHahf8MGGKI/AAAAAAAGzr8/WtF599PtJ_4/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA ZIMBABWE NCHINI MAREKANI UBALOZINI TANZANIA HOUSE
10 years ago
VijimamboMHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA ZIMBABWE NCHINI MAREKANI UBALOZINI TANZANIA HOUSE
Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani amemkaribisha Mhe. Ammon Mutembwa, Balozi mpya wa Jamhuri ya Zimbabwe Ubalozini Tanzania House, Washington DC, Marekani, Jumatano Novemba 26, 2014. Katika mazungumzo yake na Balozi Mutembwa, Mhe. Balozi Mulamula alimweleza Balozi huyo kwamba ajisikie kwamba yuko nyumbani. Mhe. Mulamula aliendelea kwa kusema kwamba Tanzania na Zimbabwe zina mahusiano ya kihistoria na kwa msingi huo ni vyema kutafsiri kwa vitendo...
10 years ago
VijimamboPICTURE OF THE DAY BALOZI LIBERATA MULAMULA
10 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete amwapisha Balozi Liberata Mulamula
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatano, Mei 27, 2015, amemwapisha Katibu Mkuu mpya, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Rutageruka Mulamula.
Aidha, katika sherehe fupi ya uapisho iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete amemwapisha Balozi Hassan Simba Yahya kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo.
Katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
VijimamboWATANZANIA CALIFORNIA WAMUAGA BALOZI LIBERATA MULAMULA
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA WATANZANIA MAREKANI
11 years ago
Michuzi16 Mar
11 years ago
MichuziBALOZI LIBERATA MULAMULA APIGA KURA YAKE DMV