Benki ya NMB yakabidhi vifaa mbalimbali kujikinga na janga la Corona mkoani Mtwara
![](https://1.bp.blogspot.com/-IEb-lCANh3k/XtXwwiD8DUI/AAAAAAAEHeY/LHoO0I5HOMcfXi9Gfpk836N0-IQ3uva-ACLcBGAsYHQ/s72-c/Donation%2Bhandover%2B2.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Alphayo Kidata (kushoto) akipokea vifaa mbali mbali kwa ajili yakujikinga dhidi ya janga la Corona kutoka kwa Kaimu Meneja wa tawi la NMB Mtwara Rosemary Moshi, ikiwa ni sehemu ya misaada inayotolewa na benki hiyo nchi nzima.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IEb-lCANh3k/XtXwwiD8DUI/AAAAAAAEHeY/LHoO0I5HOMcfXi9Gfpk836N0-IQ3uva-ACLcBGAsYHQ/s72-c/Donation%2Bhandover%2B2.jpg)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA MBALIMBALI VYA KUJIKINGA NA JANGA LA CORONA MKOANI MTWARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IEb-lCANh3k/XtXwwiD8DUI/AAAAAAAEHeY/LHoO0I5HOMcfXi9Gfpk836N0-IQ3uva-ACLcBGAsYHQ/s400/Donation%2Bhandover%2B2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MKAB4A1zsIU/XuPm9hg5fxI/AAAAAAABMV0/RvznYIhH92MV1xGVqpyhXuiyT84XexGRACLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida%2B%25281%2529.png)
NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWIA MIKONO KUJIKINGA NA CORONA MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MKAB4A1zsIU/XuPm9hg5fxI/AAAAAAABMV0/RvznYIhH92MV1xGVqpyhXuiyT84XexGRACLcBGAsYHQ/s400/CSR%2BSingida%2B%25281%2529.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida.png)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s640/CSR%2BSingida.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N3KLStRpPRU/XtDNlLRaTCI/AAAAAAALr9Y/7TFbDSOxdigTum80hkspC8f0Mii-LFjygCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.44.45%2BAM.jpeg)
TAASISI YA GFF YAKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYA YA MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-N3KLStRpPRU/XtDNlLRaTCI/AAAAAAALr9Y/7TFbDSOxdigTum80hkspC8f0Mii-LFjygCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.44.45%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HGI2IayM3JA/XtDM-mHvKTI/AAAAAAALr88/Wqw-unuVs9cJZ3OM3zqf_0wKZDnSpWCAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.53.11%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QUT2i_ynWvU/XtDM_2F0tkI/AAAAAAALr9A/Ib0-yt6Khfg-i6iB-EBnxTFvzPapPOLDwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.53.15%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s72-c/02.jpg)
BENKI YA NMB YAKABIDHI SHILINGI MILIONI 100 KWA WAZIRI MKUU KUPAMBANA NA CORONA
Benki ya NMB katika kudhibiti na kupambana dhidi ya virusi vya Corona imekabidhi shilingi milioni 100 kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kama sehemu ya mchango wake kwa serikali katika mapambano hayo.
Waziri mkuu amekabidhiwa fedha hizo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu, Dar es Salaam.![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh. Milioni 100 kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kutoka kwa Kaimu...
Waziri mkuu amekabidhiwa fedha hizo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu, Dar es Salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh. Milioni 100 kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kutoka kwa Kaimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NSzqhiwUFCs/XmIdOCc7CBI/AAAAAAALhcg/fM0Cn9houFAZWXSm_iIiNmZb6JJJLinmwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2033.jpg)
NMB yakabidhi vifaa kwa Wilaya ya Hai na Ilala
BENKI ya NMB imekabidhi misaada mbalimbali ya vifaa tiba na vifaa vya elimu katika Mikoa ya Dar es Salaam na Kilimanjaro, ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa kurejesha kwa jamii asilimia moja ya faida yao kupitia Programu ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR).
Jijini Dar es Salaam, NMB imetoa msaada yenye thamani ya Sh. Mil. 15 kwa Shule ya Sekondari Tambaza, iliyopo Upanga na Kituo cha Afya Pugu Kajiungeni wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wakati Mkoani Kilimanjaro imekabidhi vifaa tiba kwa...
Jijini Dar es Salaam, NMB imetoa msaada yenye thamani ya Sh. Mil. 15 kwa Shule ya Sekondari Tambaza, iliyopo Upanga na Kituo cha Afya Pugu Kajiungeni wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wakati Mkoani Kilimanjaro imekabidhi vifaa tiba kwa...
10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA POLISI
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i8ohBcn84Tg/VZGc6gGrfnI/AAAAAAAHlvc/1B3D147jIDg/s72-c/1.jpg)
NMB Yakabidhi vifaa vya hospitali chuo kikuu cha Dodoma
Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwaajili ya zahanati ya chuo kikuu cha Dodoma vyenye thamani ya Shilingi milioni 20.
Vifaa hivyo vilivyotolewa kwa Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dodoma – Prof Shaaban Mlacha ni pamoja na - Jokofu kwaajili ya benki ya Damu, Meza ya upasuaji (Operating Table), Taa maalumu za kwenye chumba cha upasuaji (Overhead Operating Lamp) vyote vikiwa na thamani ya shilingi Milioni 20.
Msaada huo ulipokelewa vyema na uongozi wa chuo kikuu cha Dodoma...
Vifaa hivyo vilivyotolewa kwa Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dodoma – Prof Shaaban Mlacha ni pamoja na - Jokofu kwaajili ya benki ya Damu, Meza ya upasuaji (Operating Table), Taa maalumu za kwenye chumba cha upasuaji (Overhead Operating Lamp) vyote vikiwa na thamani ya shilingi Milioni 20.
Msaada huo ulipokelewa vyema na uongozi wa chuo kikuu cha Dodoma...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YATANGAZA HATUA ZA KUWAPUNGUZIA MZIGO WATEJA WAKE KUTOKANA NA JANGA LA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NMB , Ruth Zaipuna
· Hatua kuchukuliwa kulingana na mahitaji ya Wateja wa Biashara Ndogondogo na za Kati· Suluhisho pia kutolewa kwa Wateja Wakubwa
Dar es Salaam, Mei 21, 2020: Benki ya NMB Plc leo imetangaza unafuu wa ulipaji mikopo kwa Wateja wa Biashara ndogo na za kati (SME/MSME) na wakubwa ili kuwasaidia kukabiliana na madhara yaliyotokana na janga la COVID - 19 kwenye biashara zao. Hii ni jitihada ya benki katika kutoa ahueni kwa wateja wake...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania