Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki zapinga kujitenga kwa Scotland

Kiongozi wa zamani wa chama kinachopigania uhuru wa Scotland, amezionya benki kwamba zitakabiliwa na wakati mgumu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kwa nini Scotland inataka kujitenga?

Kura ya maoni inaonyesha ushindani ni mkali kati ya wanaotaka muungano kuvunjwa na wanaotaka muungano kusalia.

 

10 years ago

Mwananchi

Kadhaa ulaya : kujitenga kwa scotland na sinema ya mombasa-sehemu ya 4

Uingereza imechachamaa majuma machache yaliyopita. Ni kama Tsunami linakaribia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiotaka kujitenga Scotland waongoza

Matokeo ya awali ya kura ya maoni ya uhuru wa Scotland yameanza kutolewa huku wasiotaka kujitenga wakiongoza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Paundi mjadala kujitenga Scotland

Huku raia wa Scotland wakitarajia kupiga kura ya maoni hapo kesho Paundi ni mojawapo ya masuala ambayo yamekuwa yakizungumzwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Scotland kubaki au kujitenga Uingereza

Upigaji kura ya maoni unakaribia kuanza Scotland kwa raia wa nchi hiyo kuamua kujitenga au kubaki kwenye himaya ya Uingereza.

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa Scotland wakataa kujitenga na Uingereza

Scotland imefanya uamuzi wa mwisho wa kuendelea kuwa sehemu ya Uingereza ,kwa maamuzi ya kura ya maoni ambapo asilimia 55 ya raia wake kwa pamoja wamekataa uhuru wa moja kwa moja wa nchi hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja

MO D

Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji  mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front  wakati wa  kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP,  jijini Dar es Salaam.

MO2

Afisa Mtendaji  mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji  akionyesha barua ya...

 

10 years ago

Habarileo

IPTL, PAP zapinga Bunge mahakamani

Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Pan AfricaPower Solutions (T) Ltd, Joseph Mwakandege akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la ununuzi wa IPTL. Kushoto ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi. KAMPUNI za Pan Africa Power Solution Tanzania Limited (PAP) na Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Harbinder Singh Sethi, wamefungua kesi ya kikatiba kupinga utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotolewa kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), inayodaiwa kuchotwa zaidi ya Sh bilioni 300.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani