BENSON KIGAILA WA CHADEMA, ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE DODOMA MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zSz9PhCrUHk/VdIAjZ2sSbI/AAAAAAAAX2E/EyDsH7keNgI/s72-c/CHADEMA%2BDODOMA%2B3jpg.jpg)
Mkurungenzi wa Oganezesheni na Mafunzo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Benson Kigaira akiwa kwenye gari la wazi akipungia wafuasi wa chama hicho, wakati akielekea kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania ubunge jimbo la Dodoma mjini leo Jumatatu Agosti 17, 2015
Kigaila, akipokea fomu kutoka kwa afisa wa CHADEMA mkoani Dodoma, Elizabeth Gumbo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Nyalandu achukua fomu ya kuwania urais wa tanzania mjini dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s640/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-isFF2XKAnqI/VXR2MwdrHNI/AAAAAAAHcyw/JNDo5TABzGQ/s640/unnamed101.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5QVUjRbUzBw/VXR2OHKTT_I/AAAAAAAHcy4/EohR90Rihbg/s640/unnamed102.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.
10 years ago
Michuzi19 Jul
MUSTAFA PANJU ACHUKUA NA KURUDISHA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI AAHIDI UMOJA NA MAENDELEO
![SAM_3880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/8w-bum7k-L2VtnpTOcU6V6WQhQUOioCD2WvG8ifL7BWBVwRQrOxAYN_Rq7cRjsT76uFKnVLUKP2-w5MuFLCJXv1vkQvtdQXYJGB319bLMjoSDVw=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3880.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Mustafa Panju achukua na kurudisha fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Arusha mjini, ahaidi umoja na maendeleo
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akimkabidhi Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano fomu ya kuwania kinyang’anyiro hicho baada ya kuchukua fomu hiyo jana na kurejesha huku akisisitiza kuwa endapo atafanikiwa kupitishwa na chama hicho au laa atashirikiana na wananchi pamoja na wanaCCM katika kuleta maendeleo katika jimbo hilo ambalo lipo mikononi...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s72-c/1.jpg)
NYALANDU ACHUKUA FOMU YA NEC KUWANIA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxTTflN12aE/VdWPTm4WA_I/AAAAAAAAxyQ/kXUr9AjgpLc/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Jul
MWIGULU NCHEMBA AREJEA IRAMBA,ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/auo2n4Fw8YmtvccRRwagFqYPybq6Ct7Dh6EKP-STEzTmTnZr5RpB_bcVImEuX3POGjQL3wWXEImhRey-whUdoiz1d-BJqz0MyXMoTHbctPKF9ytPWrLHXH4m1UFuFGtkUn6ZlPJNPkU4U790gfgirooS7yjURxxe0BydN92_anQSxHruIZ6Nj9R0HPaRxheywalyrXZWe1qRloZ7FiEdcQ6PMJNKmf2p1McyX0uehnESUho06YgCbcGALcMeuR50rmX2kTtr3ccuk_8zlTGhOcH86VW99K8Ls-WKFPqpMa3FLElo_jQDoUkLL2Dg=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/11750624_410585769143657_4853674917729489963_n.jpg?oh=17fa547d2739fbabab8080c5cd8e1ecd&oe=56213BBF&__gda__=1444216373_d6e70e4bc723ef84eefdb11a01b8da8c)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/lbUx19XYREcHQ-Vvac5vLWNCPuFiAh5aw7IQ4t7WPpSG9L3wg0R6gaCL95ycGmCzAFeAqjc5_lhB3Kq87z1mHKHUOs0mkPgI0pVmxS-GlT7fIB8zm7rWPyfR2kurMhUHZ6nVy3-3Jye6YPs-Uh8F2NeoXZbiZPFTX40ZUMnYAKpe9vQZV2UpJKed4HiaAA-fbMi9AJe8iK7bwohr2ey8sGZBtQQzlZO_0FqX0d0PSXdcpDeCCZXH2s1QDEPS_bYslw6KPlw9AyYN8aGp2A8JLW3eAtB8S0_sBEVDvuS-OTmdcbrG5uVz7l_EdjD7=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/11705121_410585809143653_7542973982607128520_n.jpg?oh=d8e6c8d05bd61e46d5693a9c9af0295c&oe=5617ECED&__gda__=1444170715_f3570c097542f04316f09a807888e2fc)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/llOJdEPf0GlUQ0Zvi8iprRZCPBnIrNXLI49FX6gJ_pJ1tTS3THkYz45-l8go44BjZEB4pMB5_EzCY2mv2PIj51N4aLFVg9uaXNrk0CXcBTl4ZWF--lBqC0PqQmQ--vlexl32HZR7CnRBsItgs9B878fj6d1FO-sP2i1DHAaBmcJr48l1xVg4fnsWszYfomRqm7I3xC4VFp53F9x6yPh0xJfNc49VkqoHzW6O1YuH1enSlnDf=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/11221588_410583429143891_6402333646742146287_n.jpg?oh=2a16f74ad064375c9819d2805f38ad00&oe=561D1BDB)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/LfAqe4BRxYHNDpKRyvT1Lk2JSHMUhoKLxMioVINKh6lTnNCh1-uSwbxN8Kga8xcz72wEw9ekqTMcwLUNhjLth0g7ObtNaMCz2U7m8iuxWShS1iUPoNCNXHG-yI9wTMzDANJOZQCpC0Xrn85F6xQtdW95-BVDoS-b3lG5X9UCiXuF07Vw7M0Cp7Ojrj6hJIN5DkQc3BBvC0mfTgxQwDWlSZmRrrhZ-J1cquPA4rQB_f56y8nEf0KBCFBNpF8PXb28Dk6w9AKK9NkFcgVlHBPski1qDjy1B9mX0LVbCazRF1un1FLrAccKXO4gapgi=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xta1/v/t1.0-9/11221457_410583335810567_7265018906632911474_n.jpg?oh=aeba2565de001b4599a52b2eb14c0159&oe=565AD981&__gda__=1448827656_f891d536032819de49686f948f989112)
9 years ago
Vijimambo18 Aug
MWIGULU NCHEMBA ACHUKUA FOMU YA SERIKALI YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA IRAMBA
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11900005_965256420203096_5206799777640777334_n.jpg?oh=93f20042bff7f879e79644838a8e063b&oe=5635CDA3&__gda__=1450708681_de956b738104bc7659d0c0dd22265749)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11855639_965256443536427_7854052006018475247_n.jpg?oh=c90ca90844409ca0794d2d9cabb44238&oe=56431DA9)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11898624_965256496869755_3959267737132567820_n.jpg?oh=a417250e5bbcfe80621e4fee9240c5bf&oe=5644EC9E&__gda__=1451118871_e5c1168cab42c2fba53a0ebd3c427d05)
10 years ago
VijimamboKAMANDA JOHN BUYAMBA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA.
Na:George GB PazzoMakada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Mwanza, wameendelea kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi za uongozi kwa ngazi za Udiwani na Ubunge.
Zaidi ya Makada sita wa chama hicho tayari wamejitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Ilemela,...