Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Best Screenplay Hawa Hapa Mpigie Kura Anayetisha

KATIKA Tuzo za Tafa kila kipengele kimejaa upinzani kwani naamini wote walioingia humu wanatisha bali kuna mmoja wao atakuwa zaidi yao basi mpigie kura aweze kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hiki muhimu katika utayarishaji wa filamu.

Unakutana na Takura Maulay ‘TK’ kupitia filamu ya Sunshine, hapa kuna Timoth Conrad ‘Tico’akiwakilisha filamu ya Dogo Masai, Ahmed Khalfan ‘Kelvin’We are Four, ,Irene Sanga filamu ya Mikono Salama, Novatus Mgulusi ‘Ras N’ anawakilisha filamu ya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mpigie Kura Mdau Richard Magumba

Mpigie Kura Mdau Richard Magumba kupitia Filamu yake ya SHEGENA iliyoingia kwenye kinyang'anyiro cha Tuzo za Filamu Fupi zinazoandaliwa na Focus on Ability.
BOFYA LINK HAPO CHINI KWENDA KUMPIGIA KURA.http://www.focusonability.com.au/FOA/films/aka_Shegena_571.html 

 

10 years ago

Michuzi

Mpigie kura Kijana Mayunga katika #‎AirtelTRACEStar

Tuhakikishe ushindi unarudi nyumbani!!! Mpigie kura Mayunga Tuma SMS yenye neno YUN kwenda 15594 au Piga 0901002233 kisha chagua 1 #‎TeamMayunga #‎AirtelTRACEStar.

Video link, Instagram: https://instagram.com/p/0XCapjGBUb/?taken-by=airtel_tanzania

 

11 years ago

Michuzi

MPIGIE KURA DIAMOND KWENYE TUZO ZA AFRIMMA

afrimma_flyer_web2
Baada ya BET Dimond anarejea tena nyumbani Afrika,akiwa nominated kwenye Tuzo za  #Afrimma( AFRICAN MUSIC MAGAZINE AWARDS) awards,zitakazofanyika jijini Richardson, Texas,tarehe 26 july.
akiwa nominated kwenye category 5.Best male East AfricaSong of the year(number1).Video of the year (number 1)Best collabo (number 1 rmx)ft DavidoAnd Best Afrikan Artist of the yearIli ku-vote fuata link hii  http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/
Kisha vote kwenye kila category niliyopo.Ahsanteni Hapa chini...

 

11 years ago

Michuzi

mpigie kura diamond ashinde TUZO ZA MTV MAMA'S

KUPIGA KURA BOFYA HAPA KISHA FUATA MAELEKEZO

 

10 years ago

Vijimambo

Mpigie kura Mtanzania huyu ashiriki filamu ya Forest Whitaker

Mtanzania Ernest Napoleon ambaye ndie muigizaji mkuu wa filamu ya Going Bongo, yupo katika mchakacho wa kushirikishwa katika filamu mpya ambayo itatayarishwa na kampuni ya muigizaji maarufu wa Marekani Forest Whitaker iitwayo "The Driver". Muigizaji mkuu wa filamu hiyo atapatikana kwa kupigiwa kura kupitia tovuti ya kampuni hiyo.

Kumpa saport Mtanzania huyo ili aweze kucheza katika filamu hiyo "The Driver" na kuendelea kuipeleka Tanzania katika level za Hollywood una bofya link hiyo...

 

11 years ago

Bongo5

Mpigie kura Cindy Rulz ashinde tuzo za UMA’s, ‘Best International Artist’

Rapper wa kike kutoka Tanzania, Cindy Rulz, ametajwa kuwania tuzo za Underground Music Awards, UMA’s za Marekani. Tuzo za UMA’s ni kubwa zaidi Marekani zinazolenga kuwatunza wasanii, waandishi wa nyimbo na watayarishaji wa muziki wanaojitegemea (wasio chini ya label) nchini Marekani. Cindy Rulz ni msanii pekee wa Afrika aliyetajwa mwaka huu kuwania tuzo hizo kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani