Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biashara ya ngono yadaiwa kuchochea maambukizi ya VVU

BIASHARA ya ngono kuingiliana kinyume na maumbile pamoja na matumizi ya dawa za kulevya vimetajwa kuwa kikwazo katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maradhi ya njia ya mkojo yenye kuchochea VVU kwa wanawake

Maradhi mengi ya zinaa huweza kudumu mwilini kwa muda mrefu kutokana na mwathirika kupuuzia athari ndogondogo zinazoweza kuvumilika lakini madhara yake ni makubwa

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi VVU yapungua

MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi (VVU), kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kwa asilimia 90. Imeelezwa. Hayo yalisemwa na Meneja wa shirika la EGPAF Mkoa wa Tabora, Dk. Alphaxard...

 

10 years ago

Mwananchi

KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU.

Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), imeboresha hali ya vitendea kazi katika sehemu ambazo ni hatarishi zaidi ili kulinda watendaji wake dhidi ya maambukizi ya vvu yanayoweza kutokana na mazingira ya kazi

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU yapungua

TANZANIA imefanikiwa kupunguza viwango vya maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kutoka asilimia 26 mwaka 2009 hadi kufikia asilimia 15 mwaka 2012. Hayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU yaongezeka Moshi

MAAMBUKIZI ya virusi vya ukimwi (VVU) katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro yameongezeka mara dufu kutoka asilimia 1.2 mwaka 2012 hadi asilimia 2.1 mwaka 2013. Takwimu hizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tohara inapunguza maambukizi ya VVU

TAFITI kutoka nchi nyingi duniani zimebaini kwamba tohara kwa wanaume inapunguza maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa asilimia 60 kwa wanaume na asilimia 44 kwa wanawake. Pia imebaini kwamba...

 

11 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya VVU yaongezeka migodini

Takwimu za maambukizi ya virusi vya Ukimwi, zimeongezeka katika maeneo yanayozunguka migodi ukilinganisha na maeneo mengine ya nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU Katavi yaongezeka

KIWANGO cha maambukizi  ya  virusi vya ukimwi (VVU) mkoani Katavi,  yameongezeka  na kufikia  asilimia 5.9 ikilinganishwa  na asilimia 5.1 ya maambukizi ya VVU kitaifa. Taarifa hiyo ilitolewa mjini hapa jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU kwa wajawazito yapungua

MAAMBUKIZI ya virusi vya ukimwi (VVU) kwa wajawazito yamepungua kutoka asilimia 3 hadi 2.3. Hayo yamebainishwa na Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la EGPAF Mkoa wa Tabora, Alphaxard Lwitakubi, alipozungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani