Biashara ya ngono yatikisa Moro-2
Wiki iliyopita tuliwaletea sehemu ya kwanza ya makala kuhusu Mkoa wa Morogoro hasa Manispaa ya Morogoro ilivyokithiri kwa vitendo vya ukahaba na matumizi ya dawa za kulevya na naibu meya mstaafu wa manispaa hiyo alieleza hatua mbalimbali zilizochukuliwa kukabili tatizo hilo. Sasa endelea…
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Wafanyabiashara 16 wa ngono wakamatwa Moro
11 years ago
Habarileo05 Feb
Mwanamke kizimbani biashara ya ngono
MKAZI wa Kimara Baruti, Askaria Boniphace (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kwa mashitaka ya kufanya biashara ya ngono.
10 years ago
GPL14 Feb
11 years ago
Habarileo15 Apr
Biashara ya ngono yadaiwa kuchochea maambukizi ya VVU
BIASHARA ya ngono kuingiliana kinyume na maumbile pamoja na matumizi ya dawa za kulevya vimetajwa kuwa kikwazo katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s72-c/MALAYA+WA+DAR.jpg)
KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s1600/MALAYA+WA+DAR.jpg)
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Kizimbani kwa kupeleka wanawake Kenya kufanya biashara ya ngono
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
BIASHARA CHAFU: Mwanafunzi chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono
11 years ago
Michuzi07 Apr
watanzania wanne wakamatwa na polisi huko macau, china, wakijihusisha na biashara ya ngono
9 years ago
StarTV16 Dec
Msichana miaka 18 mbaroni kwa kushawishi watoto na kufanya Biashara Ya Ngono Singida
Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuwashawishi watoto wa kike na kuwafanyisha biashara ya ngono kwa ujira wa kati ya shilingi 3,000 na 5,000 suala ambalo ni kinyume cha sheria, ukatili na ukiukaji wa misingi ya haki za binadamu.
Mtuhumiwa huyo Mastura Saidi mkazi wa Karakana Mjini Singida amekamatwa Jumatatu hii majira ya saa mbili usiku baada ya watoto watatu mwenye umri kati ya miaka 12 na 15 kukutwa ndani ya chumba chake wakiwa na...