BINAGI MEDIA GROUP YAZINDUA KAMPENI YAKE YA "PIGA KURA EPUKA KULA"
![](http://2.bp.blogspot.com/-AIrpByqN-IE/Vd1DLhmfQrI/AAAAAAAAEa8/mqmZcZ-Gkz0/s72-c/1.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Binagi Media Group George Marwa Binagi-GB Pazzo akionyesha Kitambulisho chake cha Kupigia Kura ikiwa ni katika Uzinduzi wa Kampeni yake ya KUHAMASISHA WATANZANIA WOTE kujitokeza Kupiga Kura 0ctoba 25 Mwaka huu kwa ajili ya Kuwachagua Viongozi watakaowatumikia. Kampeni hiyo inafahamika kwa jina la "MTANZANIA PIGA KURA, EPUKA KULA KWA AJILI YA MAENDELEO YAKO".
Katika Kampeni hiyo ambayo inaanza leo Agost 26, 2015 Wasomaji wa Mtandao huu pamoja na Wadau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA KIRUMBA SANAA GROUP JIJINI MWANZA AUNGANA NA KAMPENI YA "PIGA KURA, EPUKA KULA".
Maduwa ambae pia ni Mshereheshaji (Mc Katumba) na Mtangazaji wa 99.4 Radio Metro Fm, ameungana na Binagi Media Group katika Kampeni yake ya Kuwahamasisha Watanzania waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura kujitokeza kwa wingi katika kuwachagua viongozi bora wa kuwatumikia na si bora viongozi ambao wakati mwingine huchaguliwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ujx-ZgQeJGQ/Xkl_vEHLhyI/AAAAAAALdnA/rXE82-NA718ncO2Xg6TeQZbmf-X7J_FtACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ujx-ZgQeJGQ/Xkl_vEHLhyI/AAAAAAALdnA/rXE82-NA718ncO2Xg6TeQZbmf-X7J_FtACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7LAJHXGpxNg/VfuVq8a__nI/AAAAAAAH5rg/7PiDTF1TpC0/s72-c/New%2BPicture.bmp)
WANAWAKE:JIVUNIE KURA YAKO NDANI YA JAMII EPUKA MCHEPUKO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7LAJHXGpxNg/VfuVq8a__nI/AAAAAAAH5rg/7PiDTF1TpC0/s320/New%2BPicture.bmp)
Tumepata nafasi ya pekee mwanamke kuwa Makamu wa Rais,Mama Samia anafahamu fika matatizo ya mwanamke ndani ya familia,hivyo kwa mara ya kwanza huu ni ukombozi kwa mwanamket .
Tumepata mtetezi katika ngazi ya juu kwa sababu siku zote mwanamke ndie anayehusika zaidi na mambo ya familia , huku Nchini Marekani na nchi ...
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Piga mswaki, piga deki, piga amani
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Sep
Piga kura ya maoni sasa
Bonyeza hapa kupiga kura online
The post Piga kura ya maoni sasa appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zZA9afXLb8w/VHSTTQf-1lI/AAAAAAAGzVQ/1f0kOFVyzf4/s72-c/B032AT.jpg)
PIGA KURA ILI TUPATE UZI MPYA WA TIMU YA TAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zZA9afXLb8w/VHSTTQf-1lI/AAAAAAAGzVQ/1f0kOFVyzf4/s1600/B032AT.jpg)
TFF ilipokea mapendekezo ya mwonekano mpya wa jezi ya timu ya Taifa kutoka kwa Watanzania 86. Jezi 11 za nyumbani, bukta nane za nyumbani, jezi nane za ugenini na bukta tano za ugenini ndizo zimepitishwa kwa ajili ya kupigiwa kura.
Mwisho wa kupiga kura ni Desemba 31 mwaka huu. Mpigaji kura anatakiwa...
10 years ago
Michuzi03 Oct
PIGA KURA UBORESHE MAISHA YA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled.jpg)
Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda...