Blog ya inocomm kuboresha maisha ya wajasiriamali kupitia Tehama
MAWASILIANO kwa njia ya mitandao ya kijamii hivi sasa yameshika kasi kutokana na kukua kwa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), sasa watu bila kujali umbali wanaweza kufanya na kutangaza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Serikali imefanikiwa kuboresha utendaji kazi wa utumishi wa umma kwa kuendesha mikutano kupitia njia ya video (TEHAMA)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu wa kwanza kushoto mstari wa mbele akiongoza kikao kazi kupitia njia ya video kwa makatibu tawala wa mikoa na wasaidizi wao, wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na wakuu wa idara za utawala na rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Tanga,Tabora,Manyara, Morogoro, Rukwa na Katavi kilichofanyika jana kwenye ukumbi wa Wakala wa Mafunzo kwa Mtandao iliyopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BMS19vebZgA/Xmt6RGCgHjI/AAAAAAAEGQQ/MIZKhF4xbtoVrK6c5rBGsSh29DjJ0u1LgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_1927-768x513.jpg)
Vodacom kusaidia sekta ya Elimu kupitia TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BMS19vebZgA/Xmt6RGCgHjI/AAAAAAAEGQQ/MIZKhF4xbtoVrK6c5rBGsSh29DjJ0u1LgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_1927-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_1983-1024x684.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Serikali kuboresha zaidi mazingira ya kufanyia shughuli za wajasiriamali mkoani Singida
Meneja mradi wa kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo,Florentina Sallah, akitoa nasaha zake kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuriwa na wafanyabiashara wadogo 150 wa mkoa wa Singida.Wa kwanza kulia ni Mkuu wa mkoa wa Singida,D k.Parseko Kone na anayefuatia ni,Dk.Willhelm Ngasamiaku,mhadhiri wa uchumi idara ya uchumi chuo kikuu cha Dar-es-salaam.
9 years ago
Habarileo12 Oct
Lowassa aahidi kuboresha maisha
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesisitiza akichaguliwa kuwa rais, ataboresha maisha ya wananchi ikiwemo kuwezesha kupata milo mitatu.
9 years ago
StarTV18 Dec
Zaidi ya Wajasiriamali 17,000 wajikwamua kiuchumi kupitia Mikopo ya Benki Ya Wanawake
Zaidi ya wanawake wajasiriamali 17,000 wamejikwamua kiuchumi kutokana na kupata mitaji kwa njia ya mikopo kutoka Benki ya wanawake ambayo imekuwa ikitoa mikopo ya viwango vya aina mbalimbali kusaidia wajasiriamali.
Benki hiyo ya wanawake ambayo imetimiza miaka 6 tangu kuanzishwa kwake imeweza kutengeneza faida kubwa kutokana na kuboresha huduma zake katika matawi mbalimbali nchini.
Benki ya wanawake Tanzania imekuwa miiongoni mwa Benki ambayo imekuwa mstari wa mbele kusaidia wananchi wa...
9 years ago
GPLDK MAGUFULI AAHIDI KUBORESHA MAISHA YA WANAJESHI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bweECp3x0Dw/Vm6Lz_82WbI/AAAAAAAIMQo/QcbTuNDligQ/s72-c/PICT%2B1.jpg)
AIRTEL FURSA YAENDELEA KUBORESHA MAISHA YA MKULIMA WA MBOGAMBOGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-bweECp3x0Dw/Vm6Lz_82WbI/AAAAAAAIMQo/QcbTuNDligQ/s640/PICT%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TKOqhGaAQa0/Vm6L5T6knRI/AAAAAAAIMQw/1-Tq5j5E-PI/s640/PICT%2B2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dQZgH-n4K_o/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Badili maisha kupitia fikra zako
WATAALAMU wa masuala ya saikologia wanasema zaidi ya asilimia 95 ya maisha yetu ni matokeo ya fikra zilizopo ndani yetu na asilimia 5 ni mazingira yanayotunguka na vitu vingine. Kutokana...