Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blog ya inocomm kuboresha maisha ya wajasiriamali kupitia Tehama

MAWASILIANO kwa njia ya mitandao ya kijamii hivi sasa yameshika kasi kutokana na kukua kwa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), sasa watu bila kujali umbali wanaweza kufanya na kutangaza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Serikali imefanikiwa kuboresha utendaji kazi wa utumishi wa umma kwa kuendesha mikutano kupitia njia ya video (TEHAMA)

IMG_4283

Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu wa kwanza kushoto mstari wa mbele akiongoza kikao kazi  kupitia njia ya video kwa makatibu tawala wa mikoa na wasaidizi wao, wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na wakuu wa idara za utawala na rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa  kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Tanga,Tabora,Manyara, Morogoro, Rukwa na Katavi kilichofanyika jana kwenye ukumbi wa Wakala wa Mafunzo kwa Mtandao iliyopo...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom kusaidia sekta ya Elimu kupitia TEHAMA

Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia (katikati) akielezea namna Vodacom walivyojidhatiti kuhakikisha TEHAMA inasaidia sekta ya elimu kupitia mtandao wa Vodacom kwenye kongamano la wadau wa Elimu lililoenda sambamba na maadhimisho ya Wiki ya Ubunifu nchini.   Kulia ni Mwalimu wa Tehama kutoka shule ya msingi Mafinga mkoani Iringa, Apia Lugenge na Mshauri toka UNESCO, Basilina Levira.Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Jangwani, Charity Luckson akichangia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali kuboresha zaidi mazingira ya kufanyia shughuli za wajasiriamali mkoani Singida

DSC01165

Meneja mradi wa kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo,Florentina Sallah, akitoa nasaha zake kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuriwa na wafanyabiashara wadogo 150 wa mkoa wa Singida.Wa kwanza kulia ni Mkuu wa mkoa wa Singida,D k.Parseko Kone na anayefuatia ni,Dk.Willhelm Ngasamiaku,mhadhiri wa uchumi idara ya uchumi chuo kikuu cha Dar-es-salaam.

DSC01178

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone,akizungumza kwenye uzinduzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuiwa na wafanyabiashara...

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa aahidi kuboresha maisha

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesisitiza akichaguliwa kuwa rais, ataboresha maisha ya wananchi ikiwemo kuwezesha kupata milo mitatu.

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya Wajasiriamali 17,000 wajikwamua kiuchumi kupitia Mikopo ya Benki Ya Wanawake

Zaidi ya wanawake wajasiriamali 17,000 wamejikwamua kiuchumi kutokana na kupata mitaji kwa njia ya mikopo kutoka Benki ya wanawake ambayo imekuwa ikitoa mikopo ya viwango vya aina mbalimbali kusaidia wajasiriamali.

Benki hiyo ya wanawake ambayo imetimiza miaka 6 tangu kuanzishwa kwake imeweza kutengeneza faida kubwa kutokana na kuboresha huduma zake katika matawi mbalimbali nchini.

 Benki ya wanawake Tanzania imekuwa miiongoni mwa Benki ambayo imekuwa mstari wa mbele kusaidia wananchi wa...

 

9 years ago

GPL

DK MAGUFULI AAHIDI KUBORESHA MAISHA YA WANAJESHI‏

 Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi katika Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga jana  wakati wa mkutano wa kampeni za CCM.
 Sehemu ya umati wa wananchi ulifurika kwenye mkutano huo wa kampeni katika Jimbo la Bumbuli…

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL FURSA YAENDELEA KUBORESHA MAISHA YA MKULIMA WA MBOGAMBOGA

 Meneja masoko wa kampuni ya Airtel kanda ya Ziwa, Emmanuel Raphael (kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na kijana Innocent  Aloyce baada ya kumkabidhi  zawadi ya Toyo, alipomtembelea katika shamba lakemkoani Mwanza wilaya ya Misungwi ambaye ni miongoni mwa vijana waliowezeshwa na  mpango wa Airtel Fursa “Tunakuwezesha” kwa nyanja mbalimbali miezi sita iliyopita. Meneja masoko wa kampuni ya Airtel kanda ya Ziwa, Emmanuel  Raphael (kushoto) akimwangalia  kijana Innocent  Aloyce baada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Badili maisha kupitia fikra zako

WATAALAMU wa masuala ya saikologia wanasema zaidi ya asilimia 95 ya maisha yetu ni matokeo ya fikra zilizopo ndani yetu na asilimia 5 ni mazingira yanayotunguka na vitu vingine. Kutokana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani