BONDIA MOHAMED MATUMLA AKABIDHIWA BODABODA YAKE
Meneja Mkuu wa Kampuni ya G S Group Limited wasambazaji wa pikipiki za Haojue ambao wametoa pikipiki hiyo, Bruce Shi akimpongeza bondia Mohamed Matumla baaa ya kumkabidhi pikipiki. Promota wa Mapambano ya Masumbwi jijini Dar es Salaam, Kaike Siraju (katikati) akimwinua mkono juu bondia Mohamed Matumla baada ya kumkabidhi pikipiki yake aliyojishindia baada ya kumshinda mpinzani wake Nasibu Ramadhani wakati wa mpambano wao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s72-c/DSCF6974.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s1600/DSCF6974.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s72-c/SHARI%2Bcopy.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA KUMVAA KOBA DONATI IDI PILI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s640/SHARI%2Bcopy.jpg)
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Mohamed Matumla anatalajia kupanda tena uringoni siku ya Idi pili katika ukumbi wa TASUBA uliopo Bagamoyo Mkoa wa Pwani kupambana na Koba Nodat katika uzito wa KG 57 mpambano wa raundi sita Matmla anapambana mpambano uho baada ya mpambano wake wa mwisho kumtwanga Mchina kwa pointmratibu na promota wa mpambano uho Muhsin Sharif amesema amesema mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi litawakutanisha bondia Iddi Pialali kutoka Kiwangwa Bagamoyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s72-c/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla Ashinda Pambano la Ngumi Dhidi ya Mchina Wang Xin Hua Jana
![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s640/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla amemchapa mpinzani wake raia wa China, Wang Xin Hua kwa pointi. Matumla ameshinda pambano hilo la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF la raundi 12 uzani wa Bantam lililopigwa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam na sasa baada ya kushinda atapata nafasi ya kupanda ulingoni Jijini Las Vegas kwenye pamambano la Mayweather na Pacquiao na bondia atakae pangiwa katika mapamabo ya utangulizi siku hiyo ya May 2.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Bondia wa zamani Francois Botha azungumzia mpambano kati ya Mohamed Matumla na Mchina Wang Xin Hua
![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_SXpdnyaI4/VRJ8KMOxiiI/AAAAAAAHNDo/6uBALhp_SHA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Sep
NASSIBU RAMADHANI ADROO NA MOHAMED MATUMLA
10 years ago
MichuziBondio Mohamed Matumla kuzichapa na Mchina machi 27
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi alisema jana kuwa maandalizi yote yamekamilika na pambano litasimamiwa na Shirikisho la ngumi la dunia la WBF ambaye rais wake atawasili...
10 years ago
Michuzi05 May
11 years ago
GPLMOHAMED MATUMLA AMGALAGAZA NASSIBU RAMADHANI KWA POINTI,AIBUKA NA PIKIPIKI