NASSIBU RAMADHANI ADROO NA MOHAMED MATUMLA
Bondia Mohamed Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Nasibu Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Dar es salaam mpambano huo ulitoka droo za kufungana point
Bondia Mohamed Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Nasibu Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Dar es salaam mpambano huo ulitoka droo za kufungana point
Bondia Lulu Kayage akioneshana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMOHAMED MATUMLA AMGALAGAZA NASSIBU RAMADHANI KWA POINTI,AIBUKA NA PIKIPIKI
10 years ago
TheCitizen11 Sep
Matumla eyes victory in bout against Ramadhani
10 years ago
MichuziBondio Mohamed Matumla kuzichapa na Mchina machi 27
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi alisema jana kuwa maandalizi yote yamekamilika na pambano litasimamiwa na Shirikisho la ngumi la dunia la WBF ambaye rais wake atawasili...
11 years ago
GPLBONDIA MOHAMED MATUMLA AKABIDHIWA BODABODA YAKE
10 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s72-c/SHARI%2Bcopy.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA KUMVAA KOBA DONATI IDI PILI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ICEicGOxRiE/VZr-iMCo2iI/AAAAAAAAECY/jn9TU3EJSeA/s640/SHARI%2Bcopy.jpg)
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Mohamed Matumla anatalajia kupanda tena uringoni siku ya Idi pili katika ukumbi wa TASUBA uliopo Bagamoyo Mkoa wa Pwani kupambana na Koba Nodat katika uzito wa KG 57 mpambano wa raundi sita Matmla anapambana mpambano uho baada ya mpambano wake wa mwisho kumtwanga Mchina kwa pointmratibu na promota wa mpambano uho Muhsin Sharif amesema amesema mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi litawakutanisha bondia Iddi Pialali kutoka Kiwangwa Bagamoyo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sJLx6kt8kQ8/VQrm15W_U9I/AAAAAAAHLgo/WUWdgUSI2v8/s72-c/540px-Boxing_OP_(3)-page-001.png)
Kuelekea Mpambano Ndondi kati ya Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wa China
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJLx6kt8kQ8/VQrm15W_U9I/AAAAAAAHLgo/WUWdgUSI2v8/s1600/540px-Boxing_OP_(3)-page-001.png)
Wakati bondia Mohamed Matumla Jr akiwa katika mazoezi ya mwisho mwisho kumkabili Wang Xin Hua wa China, wenzake Thomas Mashali na Karama Nyilawila wametoleana uvivu huku kila mmoja akijigamba kutwaa ubingwa watakapozichapa Machi 27 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Matumla Jr atazichapa na Hua pambano la super bantam la ubingwa wa dunia wa (WBF World Eliminate) pambano maalumu kwa mabondia hao la kutafuta tiketi ya kucheza pambano la utangulizi kwenye lile...