Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING NEWS: RATIBA YA SERENGETI FIESTA 2014 #NISHEEDAH

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DODOMA

Msanii wa Bongo Fleva, Baba Levo akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dodoma usiku wa kuamkia leo. Mo Music akitoa burudani kwa wakzi wa Dodoma waliyofulika kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.…

 

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DAR

Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Harris,'T.I' akitoa burudani kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na T.I usiku wa kuamkia leo Ledears Club.…

 

10 years ago

GPL

BACKSTAGE YA SERENGETI FIESTA 2014 DAR

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma 'Diamond' akifanya yake. Nasibu Abdul Juma 'Diamond' (katikati) akiwa na walinzi wake.…

 

10 years ago

Vijimambo

SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DODOMA

Msanii wa Bongo Fleva, Baba Levo akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dodoma usiku wa kuamkia leo.Mo Music akitoa burudani kwa wakzi wa Dodoma waliyofulika kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Msanii zao la Serengeti Super Nyota G-Lucky akifanya makamuzi ndani ya uwanja wa Jamhuri Dodoma.Y-Tony akiwajibika kwenye tamasha la Serengeti Fiesta lililokuwa likifanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Chipukizi wa Bongo Fleva,...

 

10 years ago

GPL

WASANII SERENGETI FIESTA 2014 NDANI YA BREEZE FM

Wasanii wanaotarajiwa kufanya shoo kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 leo wakisubiria kufanyiwa mahojiano ndani ya kituo cha Redio cha Breeze FM cha mjini Tanga mapema hii. Msanii kutoka Kundi la Yamoto Band, Dogo Aslay akizungumzia namna watakavyotoa burudani kwa mara ya kwanza mjini Tanga katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Mkwakwani.… ...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAZINDIUA MSIMU WA FIESTA 2014

Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa  tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . 
Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....

 

11 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA 2014 YAANZA MWANZA KWA KISHINDO

Msanii wa Bongo Flava, Linah Sanga (wa pili kushoto) na mkali wa muziki huo na mshindi wa tuzo ya AFRIMMA 2014, Diamond Platinum (kushoto) wakifanya vitu vyao katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza jana. Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platinum' (kushoto), akilitawala jukwaa pamoja na baadhi ya wacheza shoo wake katika onyesho la kwanza la Tamasha la Serengeti...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Serengeti Fiesta 2014 Moshi ilikuwa ni shida

Wakazi wa Moshi usiku wa August 30 walipata burudani za shangwe ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika katika viwanja vya Majengo kutoka kwa wasanii mbalimbali. Tazama picha za show hiyo. Mamong’oo ndio walifunga show Mapacha Maua Sama Nay wa Mitego na Stamina Nickson George wa Clouds TV Producer Lamar akiwarusha mashabiki wa Moshi kwa ngoma za […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani