BREAKING NYUZZZZ...: TAKUKURU YAANZA KUWABURUZA WASHTAKIWA WA ESCROW MAHAKAMANI
Watu wawili Rugonzibwa Mujunangoma na Theophillo Bwakea wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka ya rushwa baada ya kupokea mgao wa Sh. Milioni 485.1 kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow walizohamishiwa na James Rugemalira.
Katika kesi ya kwanza, aliyekuwa Mwanasheria wa Mamlaka ya Vizazi na Vifo (Rita) Mujunangoma ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara Ardhi, Nyumba Maendeleo ya Makazi, alisomewa mashitaka yake mbele ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Qai9_5MY22I/VnF1kkCloKI/AAAAAAAIM3U/WzUj5xTuYls/s72-c/20151216062812.jpg)
10 years ago
StarTV15 Jan
TAKUKURU yawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili wa ESCROW.
Na Lilian Mtono.
Dar es Salaam.
Tume ya kupambana na kuzuia rushwa, TAKUKURU kwa mara ya kwanza imewapandisha kizimbani watuhumiwa wawili wanaohusishwa na kashfa ya wizi wa zaidi ya shilingi Bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Watuhumiwa hao walifikishwa kwenye mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, ambapo kila mmoja anakabiliwa na shitaka moja la kula rushwa.
Mshitakiwa wa kwanza kupandishwa kizimbani alikuwa ni Bwana Theophilo John Bwakea, ambaye inadaiwa kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6xuxflMu0eM/XtehP8UrreI/AAAAAAALsfM/fTxjP0G-76kD8phVO2GOYZSmlO6p0j-MQCLcBGAsYHQ/s72-c/tanzania-tra-pccb.gif)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Iv7Ipr4gPFI/VmlbyJly9UI/AAAAAAAILao/Z5LLG1nj9Ps/s72-c/jbb1.jpg)
BREAKING NYUZZZZ...: RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Iv7Ipr4gPFI/VmlbyJly9UI/AAAAAAAILao/Z5LLG1nj9Ps/s640/jbb1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tyAe1y0j3gM/VmlbyQFhHVI/AAAAAAAILas/CyiyTRc9i6o/s640/jbb2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s72-c/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: MH. KASSIM MAJALIWA APITISHWA KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s640/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, muda mfupi uliopita limepitisha jina la Mbunge wa Jimbo la Rwangwa, Mh. Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Serikali ya awamu ya tano baada ya jina lake kupelekwa Bungeni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mh. Majaliwa amepitishwa kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5% ya kura zote za ndio.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nERG4-GKvUc/VoEkRJyvf6I/AAAAAAAIO_8/jWPW3UozMqY/s72-c/20151228031431.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: WACHIMBAJI KADHAA WAFUNIKWA NA KIFUSI CHUNYA, MKOANI MBEYE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nERG4-GKvUc/VoEkRJyvf6I/AAAAAAAIO_8/jWPW3UozMqY/s640/20151228031431.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gQT2quvcHfM/VoEkQvJHQ1I/AAAAAAAIO_4/tO4mOAdHqPo/s640/20151228031251.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Oct
BREAKING NYUZZZZ......: WAKILI DAMAS NDUMBARO ‘ ATUPWA JELA YA SOKA’ MIAKA SABA
Ndumbaro alikimbilia katika vyombo vya habari...
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ........BONDIA FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Cheka alifikishwa kizimbani leo na kusomewa mashtaka ya kushambulia na kuzuru mwili,akidaiwa mnamo julai 02 mwaka 2014, bila uhalali na akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria, alimpiga kwa ngumi maeneo ya kichwani na tumboni, Bahati Kabanda maarufu kama Masika,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uarnns2BDr8/VIX8NB7wh3I/AAAAAAAG2Iw/ZM4tXwU_0pA/s72-c/KIJANA%2BDANNY.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: MSHAMBULIAJI DANNY MRWANDA AMWAGA WINO YANGA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uarnns2BDr8/VIX8NB7wh3I/AAAAAAAG2Iw/ZM4tXwU_0pA/s1600/KIJANA%2BDANNY.jpg)
Yanga imewafanyia umafia watani zao wa jadi Simba,ambayo ilionyesha nia kubwa ya kumuhitaji Mrwanda ikiwa ni kwa hudi na uvumba na tayariilishatangaza nia yake hiyo ya kutaka kumsajili.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga kinasema kuwa,Yanga imeamua kumsajili Mrwanda kuchukua nafasi ya Said Bahanuzi aliyetolewa kwa mkopo kwenda Polisi Morogoro...