BUKOBA VETERAN KUCHEZA MCHEZO WA KIRAFIKI KESHO JUMAMOSI 17.10.2015 NA BUSWELU VETERAN
Bukoba Veteran kucheza mchezo wa Kirafiki kesho jumamosi 17.10.2015 kwenye Uwanja wa shule ya seminari ya Ntungamo Bukoba na Timu ya Buswelu Veteran kutoka Jijini Mwanza. Mtandao wa Bukobasports.com ukiongea na Nahodha wa Timu hiyo Kepteni Mwinyi Rajab umeelezwa kwamba mpambano huo wa kirafiki utapigwa kesho jioni na amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika Viwanja hivyo. Pia ameweza kuongeza kuwa kutapigwa mtanange mwingine wa kirafiki utaochezwa kesho yake jumapili 18.10.2015...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen29 Jun
Veteran journalist Ng’wanakilala dies
10 years ago
TheCitizen20 Apr
CCM Z'bar throw out veteran
11 years ago
GPL
GLOBAL FC YAINYUKA TEGETA VETERAN 1-0
11 years ago
BBC
Veteran trio in Nigeria's AWC squad
11 years ago
TheCitizen14 Apr
Music veteran Gurumo exits the stage at 74
10 years ago
AllAfrica.Com15 Jul
Veteran Politician Hails CCM Candidate
AllAfrica.com
GOOD performance and excellent delivery by Chama Cha Mapinduzi (CCM) presidential nominee, Dr John Magufuli, has been described as added advantage during nation-wide campaigns leading to October election. Speaking in Dar es Salaam, the retired ...
Development advocacy lobby urges priority on economy, rule of law during ...IPPmedia
Chato residents salute MagufuliDaily News
all 5
11 years ago
TheCitizen15 Jul
Veteran golfer sparkles at Arusha tourney