BUNGE LAAHIRISHWA KIFO CHA MBUNGE WA SUMVE
Spika wa Bunge, Job Ndugai, leo Aprili, 29, 2020, ameahirisha Mkutano wa 19, Kikao cha 9, cha Bunge hadi kesho, kufuatia kifo cha Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa.
Ndassa anakuwa mbunge wa pili wa CCM, kufariki dunia wakati Mkutano huu wa Bunge la 19 ukiendelea, baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mchungaji Getrude Rwakatare kufariki dunia wiki iliyopita.
“Waheshimiwa wabunge, ninaomba kuwajulisha kuwa bunge letu limepata na msiba mwingine mkubwa wa kuondokewa na mbunge mwenzetu wa Jimbo la Sumve ...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBUNGE LAAHIRISHWA KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE WA UKONGA EUGEN MWAIPOSA
5 years ago
CCM Blog10 years ago
VijimamboMBUNGE WA JIMBO LA UKONGA AFARIKI DUNIA BUNGE LAAHIRISHWA
![](http://api.ning.com/files/rWr07F5d70umBcBxylsvxnPfeJ6XW3aCsWsj4epKHXuWinWxskbuzfvxFz8dWiMx1nM7EvgtfRwQIwmpW8W2vaLVqoJ5-gSQ/mwaiposa.jpg)
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara...
9 years ago
VijimamboBARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA KIFO CHA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
NEWZ ALERT: MBUNGE WA JIMBO LA SUMVE RICHARD NDASA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEUvNLeiKtsarx9SKgoT8QmP9zhLS-c3pLvkeELX8SaW1QEX6Y9A*VNXFrUCkjJNjz*iSJrPSxys6gnWrfe0i*5/BREAKING.gif)
BUNGE LAAHIRISHWA TENA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q3ws1OP_-OA/U69t9j7e4hI/AAAAAAAFtYo/mVddNje7AWI/s72-c/unnamed+(23).jpg)
BUNGE LAAHIRISHWA HADI NOVEMBA 4, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q3ws1OP_-OA/U69t9j7e4hI/AAAAAAAFtYo/mVddNje7AWI/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HoFu42mzQQU/U69t9nKnwFI/AAAAAAAFtZI/8AjteLUbQfE/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kerivki9WRM/U69t9wEYTyI/AAAAAAAFtYs/87OvV3l0xBE/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wwx8O11knRY/U69t-Fi15bI/AAAAAAAFtYw/MHhZhnjoTrE/s1600/unnamed+(28).jpg)
Mwanasheria Mkuu Mhe.Jaji Frederick Werema akimpa mkono wa kumpongeza Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda mara baada ya kulihuitubia Bunge.
![](http://1.bp.blogspot.com/-x7cmkc9AHno/U69uyFAf9wI/AAAAAAAFtZU/UmE-dfyoQmw/s1600/unnamed+(30).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_E2_bu5-nQo/XqpXDgkHrfI/AAAAAAAC4O4/n9z9kdU-Bg0IEt0mAM-IDufLy4oeZQMHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
9 years ago
StarTV10 Oct
Uchaguzi Arusha kuahirishwa kufuatia kifo cha mbunge wa ACT Wazalendo.
Mgombea wa Ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo Estomih Malla, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya rufaa ya KCMC Mjini Moshi, alipokuwa akipatiwa matibabu.
Marehemu Malla alikimbizwa KCMC baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa katika mikutano ya kampeni za chama chake jumatano iliyopita huko Ngaramtoni Arusha.
Katika makao makuu ya chama cha ACT-Wazalendo Arusha Mwenyekiti wake mkoani humo Samwel Kivuyo, amesema wakiwa katika mkutano...