Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Busara zitawale suala hili la uchaguzi Zanzibar

Ni dhahiri kiwingu kizito kinachoendelea kutanda kule Zanzibar ambako Tume ya ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ilifuta matokeo ya uchaguzi ya urais, wawakilishi na madiwani kwa hakika kimeiweka mtegoni nchi yetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Suala la kusimama mita 200 linahitaji busara

Serikali, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyama vya siasa, hasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) viko kwenye mzozo mkubwa wa wapi wananchi wanatakiwa wasimame baada ya kupiga kura Oktoba 25.

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sauti za Busara Zanzibar

Mziki wa kizazi kipya umeanza kutambuliwa katika jukwaa la kimataifa kama tulivyobaini katika tamasha la sauti ya Busara

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha akito taarifa kwa vyombo vya Habari juu ya majimbo ya uchaguzi ya Zanzibar. Kuona majimbo yote ya uchaguzi zanzibar, BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA KUFANYIKA FEBRUARI 12-15 ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Bodi ya Tamasha la Sauti za Busara Simai Mohamed Saidi (wa pili kushoto) akizungumza. Sehemu ya waandishi wa habari waliokuwa kwenye hafla hiyo.…

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YANOGESHA TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA- ZANZIBAR

Washindi wa shindano la ‘Scan, Lipa, Sepa” la Benki ya CRDB wakifurahia ushiriki wa taamsha la Sauti za Busara Zanzibar. Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Abdulmajid Nsekela akiwa na Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za Busara Bwana Yusuf Mohamed na Mkuu Kitengo cha Kadi cha Benki hiyo Farid Seif katika Tamasha za Sauti za Busara Zanzibar. Mkurugenzi wa Wateja wadogo wa Benki ya CRDB Boma Rabala akiwa na washindi na wafanyakazi wa Benki hiyo katika banda maalum la kutolea huduma katika tamasha la...

 

9 years ago

Michuzi

Tamasha la muziki la sauti za busara Zanzibar 2016 halitokuwepo

Kutokana na uhaba wa fedha, Busara Promotions inasikitika kutangaza kuwa tamasha la Sauti za Busara mwaka 2016 halitakuwepo, hii itakuwa ni mara ya kwanza ndani ya miaka kumi na tatu Zanzibar kulikosa Tamasha la kimataifa la Sauti za Busara lifanyikalo kila wiki ya pili ya mwezi Februari.

Yusuf Mahmoud, Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, amesema leo "Uamuzi huu haukuchukuliwa kwa wepesi”. Kawaida huwa tunatangaza tarehe za tamasha mwaka mmoja kabla. Lakini baada ya kufanya...

 

5 years ago

Michuzi

NEC yakutana na viongozi wa vyama vya Siasa kujadili suala la Uchaguzi mkuu 2020.


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

Katika kuelekea uchaguzi Mkuu 2020 wa Rais, Wabunge na madiwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili maandalizi ya uwekaji wazi wa Daftari la awali na kutoa taarifa ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.

Akifungua mkutano huo uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa nchini Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani