CCM Zanzibar yajadili wagombea
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, ameongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa Zanzibar, kujadili majina ya wagombea ubunge na uwakilishi kupitia chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMKE WA RAIS WA ZANZIBAR AENDELEA NA ZIARA YAKE KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM ZANZIBAR
Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania Wilaya ya Mfenesini Unguja wakati akiwa katika ziara yake kuwatembelea Viongozi wa Wanawake Zanzibar kuwapigia kampeni Wagombea wa CCM kwa Wananchi kupitia Wanawake. Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume amewataka Wanawake kujitokeza kwa wingi kukipigia Kura Chama cha Mapinduzi...
9 years ago
VijimamboMKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN, AENDELEA NA ZIARA YAKE KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM ZANZIBAR.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s72-c/487.jpg)
CCM ZANZIBAR WAANZA MCHAKATO WA KUTOA FOMU KWA WAGOMBEA WA UBUNGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s640/487.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ys8zVR5v_Ik/VaaIjVU_5sI/AAAAAAAHp9Y/b6rw4O_LKWI/s640/490.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-INUNEyYkIWI/VaaIjxevP3I/AAAAAAAHp9c/aEZDTcQuDzs/s640/491.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Aug
Kamati Kuu CCM yajadili Bunge Maalum
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete jana alifungua kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, ambapo pamoja na mambo mengine kitajadili mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.
9 years ago
MichuziMgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Dk Shein, awatambulisha Wagombea Ubunge na Uwakilishi wa Wilaya ya Amani Unguja Kichama
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lVtPHC_ARwM/VEDVqnSzG-I/AAAAAAAASZo/koWhUsJaQ3o/s72-c/7.jpg)
CCM YAJADILI KUJIENDESHA KIUCHUMI NA MIPANGO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lVtPHC_ARwM/VEDVqnSzG-I/AAAAAAAASZo/koWhUsJaQ3o/s1600/7.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanga makabrasha tayari kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ambapo masuala ya kujiendesha kiuchumi na mipango ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanajadiliwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1Arec1KwvdU/VEDVh4fqaaI/AAAAAAAASY4/xEh3hyhoNiE/s1600/1.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo aliwaeleza juu ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya kwanza ya kikao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s72-c/CCM-Logo.jpg)
RATIBA KAMILI YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CCM WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s640/CCM-Logo.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIANATAREHESHUGHULI/MAELEZO115 – 30/06/2020Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.215 – 30/06/2020Kutafuta wadhamini Mikoani.VIKAO VYA UCHUJAJI306 – 07/07/2020Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.408/07/2020Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.509/07/2020Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa: Kufikiria na kutoa Mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa...
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Wagombea sita Zanzibar waandika barua UN
Wagombea wa urais wa Zanzibar wa vyama sita, wamemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN), Ban Ki Moon kumwomba asaidie kutatua mgogoro wa Zanzibar uliotokana na kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10