CHADEMA YATOA TAMKO KUFUATIA MAUAJI YA MWENYEKITI WA CHAMA TEMEKE
![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-9dJpvjrY2Kbuao7dRmkO8Hal1cEduKvQ7I531d2wCRWCfPVkge-VRKwK00wiCgoo*EDPJENJgevUb7VpCwNPjX/chadema.png?width=350)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa mshtuko taarifa za tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Temeke, Josephat Yona Patrick. Chama kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano na Uhusiano, mbali ya kukemea kwa nguvu zote tukio hilo la kihuni na mengine ya namna hiyo yenye lengo ya ukatili dhidi ya binadamu, katika hatua ya sasa kinapenda kusema yafuatayo juu ya tukio hilo ovu ;...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1htsB4KygPM/VcOqHDXrMeI/AAAAAAAHuuE/TH_PzWFuxIg/s72-c/Aos1P4V98yiLlV52uH06cG3Nc81GUEg3pB9ikMxSbiDg.jpg)
TAARIFA YA CHAMA CHA CUF KUFUATIA MWENYEKITI WAO KUTANGAZA KUJIUZULU LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-1htsB4KygPM/VcOqHDXrMeI/AAAAAAAHuuE/TH_PzWFuxIg/s400/Aos1P4V98yiLlV52uH06cG3Nc81GUEg3pB9ikMxSbiDg.jpg)
Sisi kama Chama tumezipokea taarifa hizo na tunayaheshimu maamuzi yake. Ni haki yake ya kikatiba na haki ya kidemokrasia kufanya maamuzi anayoyaona yana maslahi kwake.
Bila shaka, Profesa Ibrahim Lipumba amekifanyia kazi kubwa Chama chetu katika miaka 16 ambayo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYAJ-9tviE7nfg--k7YaCbdJWAjxOq8-W0vZ8JzE9QmRyqVByYwyf9W3mkVDxSStIwo6tMjafhHHscXhdvpTp3XB/1Yona.jpg?width=650)
MWENYEKITI WA CHADEMA TEMEKE AVAMIWA, APIGWA, ATUPWA UNUNIO
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Temeke atekwa nyara, ajeruhiwa
11 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA TEMEKE JOSEPH YONA AHAMISHIWA MOI
10 years ago
GPLUMOJA WA VIJANA WA VYUO WATOA TAMKO LA KULAANI KAULI ZA MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-MPkHe1xMzSY/VkelXV4eL2I/AAAAAAAAXHY/D55vXMI9AIk/s72-c/MAWAZO1-page-001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wCHZhJTRbPI/VkhRSl8IZDI/AAAAAAAIF6E/9lEiEbWlSns/s72-c/MAWAZO1-page-001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA Mwenyekiti wa Chama Cha Madereva Tanzania (TADWU)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-E/VHcc-oRU5_w/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Katika salamu hizo Rais Magufuli amesema taifa limempoteza mtu shupavu, mkweli, makini na aliyependa kupigania haki pale alipoamini kuwa panastahili haki hiyo na alithibitisha kwa kupigania uanzishwaji wa...