Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chanzo cha mtoto kutopenda kula?

Swali: Nina mtoto wa kiume wa mwaka mmoja na miezi mwili, tatizo lililojitokeza katika siku za karibuni ni msumbufu wakati namlisha chakula. Inaweza kuchukua saa nzima kulishwa chakula, huku akiwa na kawaida ya kujaza chakula mdomoni na kumeza taratibu. Dokta naomba msaada wako kwani naona mwanangu hali vizuri na uzito wa mwili unapungua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la kutopenda kula kwa watoto

Licha ya ukweli kuwa wakati wa mlo huwa ni wa furaha lakini kwa wazazi walio wengi hususan wenye watoto wadogo huwa ni matatizo. Nazungumzia wazazi wenye watoto wasiopenda kula.

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook kuwa na kitufe cha 'Kutopenda’

Mwanzilishi wa Facebook amesema mtandao huo wa kijamii utaongezwa kitufe cha "kutopenda" cha kutumiwa kwenye jumbe za kuhuzunisha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanaswa kwa kula maiti ya mtoto

Polisi nchini Pakistan wamenasa jamaa moja na wanamsaka mwenzake baada ya maiti kupatikana imekatwa

 

11 years ago

Mwananchi

Aliyemuua mtoto na kula ubongo afariki

Yanawezekana yakawa ni moja ya mauaji ya kutisha nchini, baada ya kijana mmoja kumuua mwanafunzi wa darasa la tatu Shule ya Msingi ya Marangu Hills Academy kisha kula ubongo wake.

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama

  Aliyemuunguza ni mama mkubwa siku ya krismasi.
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.

Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.

SHUHUDA...

 

11 years ago

GPL

AKAMATWA KWA KULA MAITI YA MTOTO PAKISTAN

Tamaa ya mchuzi wa nyama ya binadamu yatongea kaka wawili. Ni visa mbavyo wengi tulivisikia katika hadithi za kale, watu kuliwa na majitu, lakini katika siku za karibuni tumeshuhudia watu wakila viungo vya wenzao Jamhuri ya Afrika ya Kati katika jazba ya kulipiza kisasi dhidi ya watu waliowadhulumu katika uongozi uliong'olewa mamlakani wa Seleka. Nchini Pakistan Polisi wamewakamata wanaume wawili kwa makosa ya kuiba maiti ya...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY

Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani