Chelsea na Arsenal zabanduliwa League Cup
Masaibu ya Jose Mourinho msimu huu yameendelea baada ya vijana wake kubanduliwa kutoka shindano la League Cup na Stoke City.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MarketWatch13 Mar
English Premier League thrown into chaos as Arsenal manager and Chelsea player catch coronavirus
English Premier League thrown into chaos as Arsenal manager and Chelsea player catch coronavirus MarketWatchGary Lineker and Gary Neville react to report that Arsenal manager Mikel Arteta has tested positive for coronavirus Sportslens.comCoronavirus live: Premier League emergency meeting after confirmed Arsenal and Chelsea cases Football.LondonPremier League confirm matches to go ahead this weekend despite coronavirus fears at Arsenal, Man City & Leicester CaughtOffsideArteta hoping to...
11 years ago
BBCChelsea 6-0 Arsenal
Eto'o and Salah score as Chelsea enjoy their biggest win against Arsenal on Arsene Wenger's 1000th game in charge of the Gunners.
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Chelsea vs Arsenal
Jose Mourinho amemuonya mwenzake wa Arsenal, Arsene Wenger kuwa timu yake imerejesha makali yake na kuwa mechi ya leo Stamford Bridge itakuwa dhihirisho
10 years ago
BBCSwahili01 Aug
Arsenal kupambana na Chelsea
Ligi kuu ya Uingereza inaanza tena siku ya jumapili wakati ambapo mabingwa wa ligi hiyo Chelsea wanakutana na washindi wa kombe la FA Arsenal katika mechi ya kombe la Charity Shield itakayogaragazwa katika uwanja wa Wembley.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Usipime Chelsea, Arsenal
Ni nani atalia, pia nani atacheka? Hili ni swali ambalo linaulizwa leo zinapokutana timu kadhaa za Ligi Kuu England, zikiwamo pinzani za London, Chelsea , Arsenal, Man United na Everton.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea
Arsenal wanakaribia kuweka makubaliano ya kumsajili kipa wa Chelsea Petr Cech.
10 years ago
BBCSwahili14 Dec
Mancity,Chelsea na Arsenal zawika
Frank Lampard alifunga bao lake la 175 katika ligi ya Uingereza na kuipatia ushindi wa 1-0 timu yake ya Manchester City.
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Arsenal,Mancity na Chelsea uwanjani
Arsenal,Chelsea na Mancity zitajibwaga uwanjani dhidi ya Newcastle,Hull City na Leicester .
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Arsenal yaadhibiwa vikali na Chelsea
Arsenal imepata kichapo cha mabao 6-0 ikiwa imesalia na wachezaji 10 uwanjani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania