Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea yaipa kichapo Swansea

Chelsea imeimarisha uongozi wake katika ligi ya Uingereza baada ya kuicharaza kilabu ya Swansea mabao 5 bila jibu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaipa kichapo Coastal Union 8-0

Yanga sasa hii sifa,imeifunga timu ya Coastal Union 8-0 katika mechi ya ligi kuu Tanzania Bara .

 

10 years ago

BBC

Chelsea 2-2 Swansea City

Ghana's Andre Ayew scores on his Premier League debut for Swansea City as they hold 10-man Chelsea to a 2-2 draw.

 

11 years ago

BBC

Swansea City 0-1 Chelsea

Senegal's Demba Ba scores the only goal as Chelsea beat Swansea to stay two points behind Premier League leaders Liverpool.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaibana Swansea 1-0

Licha ya kuilaza Swansea 0-1 Chelsea imesalia ya 2 katika ligi kuu ya Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yapewa kichapo na Totenham

Chelsea ilicharazwa na kilabu ya Totenham na hivyobasi kusalimu amri ya uongozi wa ligi ya Uingereza.

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1

Mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Leicester ( katikati ) Marc Albrighton ukimpita mlinda mlango wa Chelsea Petr Cech ( kushoto ) na beki wake Gary Cahill na kujaa wavuni kuiandikia Leicester bao la kuongoza. Mshambuliaji nguli wa Chelsea, Didier Drogba akipiga mpira uliokwenda moja kwa moja nyavuni na ukisawazishia timu yake katika dakika ya 48 muda mfupi tu baada ya kipindi cha pili kuanza.Wachezaji wa Chelsea wakiwasalimia mashabiki wao baada kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Leicester...

 

9 years ago

MillardAyo

Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …

Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea  Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo,  Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]

The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

10 years ago

Vijimambo

CAF yaipa TZ uenyeji U-17.

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limetimiza ndoto za Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, za kuwa mwenyeji wa michuano mikubwa baada ya juzi kuipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.

Katika michuano hiyo, Tanzania itashiriki michuano hiyo bila kupita katika hatua ya mchujo kutokana na faida ya uenyeji, ambao pia utatoa fursa ya kuomba kuandaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani