Chelsea yapewa kichapo na Totenham
Chelsea ilicharazwa na kilabu ya Totenham na hivyobasi kusalimu amri ya uongozi wa ligi ya Uingereza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Chelsea,Mancity na Totenham nje ya F.A
10 years ago
Vijimambo24 Jan
CHELSEA , MANCITY ,NA TOTENHAM NJE KOMBE LA FA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/04/150104152649_fa_cup_trophy_1_640x360_pa.jpg)
Manchester City,Chelsea Southampton na Totenham zimeondolewa katika mechi za kombe la FA baada ya kuadhibiwa na timu kutoka daraja la chini la ligi ya EPL.
Timu hizo ambazo zinaongoza katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza Zilishangazwa baada ya kushindwa nyumbani na wapinzani wao.
Hii ni mara ya pili kwa mabingwa wa ligi ya Uingereza Mancity kuondolewa nyumbani na Middlesborough ambao walishinda kwa 2-0.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/04/150104183520_manchester_city__640x360_allsport.jpg)
Vilevile kilabu ya daraja la kwanza Bradford City ilionyesha mchezo wa hali ya juu...
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Chelsea yaipa kichapo Swansea
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HFiW4szhchg/VUGsxEIEKBI/AAAAAAAA79c/LMAazD8Q7uc/s72-c/CHE%2B1.jpg)
HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1
![](http://2.bp.blogspot.com/-HFiW4szhchg/VUGsxEIEKBI/AAAAAAAA79c/LMAazD8Q7uc/s1600/CHE%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FZcsTfEi8mA/VUGsxRAVZtI/AAAAAAAA79g/W421Xhfpkdg/s1600/CHE%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6jFFVuz3nWw/VUGsxa_2UPI/AAAAAAAA79k/lhatEWudGnI/s1600/CHE%2B3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Mancity yachuana na Totenham
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …
Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo, Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]
The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …
Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]
The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...
11 years ago
Habarileo27 Jun
TBC yapewa OB-Van
SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) limepokea gari la kisasa la matangazo (OBVan) lenye thamani ya Sh bilioni sita kutoka kwa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Chaneta yapewa changamoto
CHAMA cha Netiboli Tanzania (Chaneta), kimetakiwa kuwa na utaratibu wa kuwapandisha madaraja makocha na waamuzi wa mchezo huo ili waweze kupata nafasi ya kutumika kimataifa. Rai hiyo ilitolewa juzi na...