Mancity yachuana na Totenham
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City huenda wakampuzisha Yaya Toure aliyeichezea timu yake ya taifa,
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Chelsea,Mancity na Totenham nje ya F.A
Manchester City,Chelsea Southampton na Totenham zimeondolewa katika mechi za kombe la FA
10 years ago
Vijimambo24 Jan
CHELSEA , MANCITY ,NA TOTENHAM NJE KOMBE LA FA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/04/150104152649_fa_cup_trophy_1_640x360_pa.jpg)
Manchester City,Chelsea Southampton na Totenham zimeondolewa katika mechi za kombe la FA baada ya kuadhibiwa na timu kutoka daraja la chini la ligi ya EPL.
Timu hizo ambazo zinaongoza katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza Zilishangazwa baada ya kushindwa nyumbani na wapinzani wao.
Hii ni mara ya pili kwa mabingwa wa ligi ya Uingereza Mancity kuondolewa nyumbani na Middlesborough ambao walishinda kwa 2-0.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/04/150104183520_manchester_city__640x360_allsport.jpg)
Vilevile kilabu ya daraja la kwanza Bradford City ilionyesha mchezo wa hali ya juu...
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Chelsea yapewa kichapo na Totenham
Chelsea ilicharazwa na kilabu ya Totenham na hivyobasi kusalimu amri ya uongozi wa ligi ya Uingereza.
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Liverpool yailaza Mancity
Liverpool iliilaza Manchester City katika mechi ya kirafiki iliyochezwa Marekani.
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Mancity yalazwa na Burnley
Bao la George Boyd liliipatia kilabu ya Burnley ushindi dhidi ya Mancity na hivyobasi kutia doa harakati za klabu hiyo
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mancity yaiadhibu Newcastle 5-0
Kilabu ya Manchester City ilipata ushindi wao mkubwa zaidi katika ligi ya EPL msimu huu kwa kuicharaza Newcastle 5-0
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Arsenal,Mancity na Man U kuwania FA
Mshambuliaji wa Uingereza Theo Walcot anatarajiwa kuanza katika mechi ya leo ya raundi ya tatu ya kombe la FA dhidi ya Hull City.
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Mancity yakaribia kumsajili Bony
Usajili wa mshambuliaji wa Ivory Coast na Swansea Wilfired Bony hadi kilabu ya Mancity unakaribia kukamilika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania