Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea,Mancity na Totenham nje ya F.A

Manchester City,Chelsea Southampton na Totenham zimeondolewa katika mechi za kombe la FA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CHELSEA , MANCITY ,NA TOTENHAM NJE KOMBE LA FA



Manchester City,Chelsea Southampton na Totenham zimeondolewa katika mechi za kombe la FA baada ya kuadhibiwa na timu kutoka daraja la chini la ligi ya EPL.
Timu hizo ambazo zinaongoza katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza Zilishangazwa baada ya kushindwa nyumbani na wapinzani wao.
Hii ni mara ya pili kwa mabingwa wa ligi ya Uingereza Mancity kuondolewa nyumbani na Middlesborough ambao walishinda kwa 2-0.
Vilevile kilabu ya daraja la kwanza Bradford City ilionyesha mchezo wa hali ya juu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yachuana na Totenham

Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City huenda wakampuzisha Yaya Toure aliyeichezea timu yake ya taifa,

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yapewa kichapo na Totenham

Chelsea ilicharazwa na kilabu ya Totenham na hivyobasi kusalimu amri ya uongozi wa ligi ya Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity,Chelsea na Arsenal zawika

Frank Lampard alifunga bao lake la 175 katika ligi ya Uingereza na kuipatia ushindi wa 1-0 timu yake ya Manchester City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal,Mancity na Chelsea uwanjani

Arsenal,Chelsea na Mancity zitajibwaga uwanjani dhidi ya Newcastle,Hull City na Leicester .

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea na Mancity kutoana jesho

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa hatoshiriki katika mechi dhidi ya Manchester City baada ya kupatikana na hatia ya kinidhamu

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea na Mancity zamwinda Alex Song

Chelsea na Manchester City zimefanya mazungumzo ya kumsajili Alex Song kutoka Barcelona kulingana na mtandao wa Sky Sports.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yarudi kileleni, Mancity yazuiwa

Chelsea imerejea katika uongozi wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kuicharaza Newcastle 2-0 katika uwanja wa stamford bridge.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatoka sare na Mancity darajani

Chelsea iliimarisha uongozi wake katika jedwali la ligi ya Uingereza dhidi ya Manchester City baada ya kutoka sare ya 1-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani