Chelsea,Mancity na Totenham nje ya F.A
Manchester City,Chelsea Southampton na Totenham zimeondolewa katika mechi za kombe la FA
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jan
CHELSEA , MANCITY ,NA TOTENHAM NJE KOMBE LA FA
Manchester City,Chelsea Southampton na Totenham zimeondolewa katika mechi za kombe la FA baada ya kuadhibiwa na timu kutoka daraja la chini la ligi ya EPL.
Timu hizo ambazo zinaongoza katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza Zilishangazwa baada ya kushindwa nyumbani na wapinzani wao.
Hii ni mara ya pili kwa mabingwa wa ligi ya Uingereza Mancity kuondolewa nyumbani na Middlesborough ambao walishinda kwa 2-0.
Vilevile kilabu ya daraja la kwanza Bradford City ilionyesha mchezo wa hali ya juu...
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Mancity yachuana na Totenham
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City huenda wakampuzisha Yaya Toure aliyeichezea timu yake ya taifa,
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Chelsea yapewa kichapo na Totenham
Chelsea ilicharazwa na kilabu ya Totenham na hivyobasi kusalimu amri ya uongozi wa ligi ya Uingereza.
10 years ago
BBCSwahili14 Dec
Mancity,Chelsea na Arsenal zawika
Frank Lampard alifunga bao lake la 175 katika ligi ya Uingereza na kuipatia ushindi wa 1-0 timu yake ya Manchester City.
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Arsenal,Mancity na Chelsea uwanjani
Arsenal,Chelsea na Mancity zitajibwaga uwanjani dhidi ya Newcastle,Hull City na Leicester .
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Chelsea na Mancity kutoana jesho
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa hatoshiriki katika mechi dhidi ya Manchester City baada ya kupatikana na hatia ya kinidhamu
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Chelsea na Mancity zamwinda Alex Song
Chelsea na Manchester City zimefanya mazungumzo ya kumsajili Alex Song kutoka Barcelona kulingana na mtandao wa Sky Sports.
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Chelsea yarudi kileleni, Mancity yazuiwa
Chelsea imerejea katika uongozi wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kuicharaza Newcastle 2-0 katika uwanja wa stamford bridge.
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Chelsea yatoka sare na Mancity darajani
Chelsea iliimarisha uongozi wake katika jedwali la ligi ya Uingereza dhidi ya Manchester City baada ya kutoka sare ya 1-1.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania