Chile yafuzu fainali za Copa America
Hii ndio mara ya kwanza Chile imefuzu kuingia fainali kwa miaka 28. Iliweza kuinyuka Peru mabao mawili kwa moja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.ComCHILE WATINGA FAINALI COPA AMERICA 2015
Wenyeji Chile wametinga hatua ya fainali ya Copa America baada ya kuifunga timu pungufu ya Peru magoli 2-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo mjini Santiago.
Eduardo Vargas ameifungia Chile magoli mawili katika dakika ya 42′ na 64′, lakini dakika ya 60′ Mlinzi Gary Medel alijifunga bao na kuwapa angalau ahueni Peru.Mapema dakika 20′ Mwamuzi wa mechi, Jorge Argote alimuonesha kadi nyekundu (Umeme) Carlos Zambrano kwa kosa la kumkanyaga mgongoni kiungo wa Chile,Charles...
Eduardo Vargas ameifungia Chile magoli mawili katika dakika ya 42′ na 64′, lakini dakika ya 60′ Mlinzi Gary Medel alijifunga bao na kuwapa angalau ahueni Peru.Mapema dakika 20′ Mwamuzi wa mechi, Jorge Argote alimuonesha kadi nyekundu (Umeme) Carlos Zambrano kwa kosa la kumkanyaga mgongoni kiungo wa Chile,Charles...
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Chile ndio mabingwa wa Copa America
Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.
10 years ago
Africanjam.ComCHILE: COPA AMERICA 2015 WINNERS AFTER BEATING ARGENTINA ON PENALTIES
Lionel Messi will go into his second major international final in as many years hoping to finally lead Argentina to glory.The Barcelona man has won everything there is to win in the club game, but is now looking to ease the pain from last summer's World Cup final defeat by lifting the Copa America.But attempting to stop him and his team are host Chile, who have never won the competition and will be confident that they can end the drought in front of their own fans.Join JONNY SINGER for all...
10 years ago
Africanjam.ComVIDEO: Chile vs Argentina - ALL Penalties Shootout - Copa America 2015 Final
Chile hadn't made it to a final in 28 years, when it lost to Uruguay in the Copa America in Argentina. It finished runner-up four times, including at home in 1955. Its best result at a World Cup was a third-place finish at home in 1962, and last year it reached the round of 16, being eliminated by host Brazil on penalties.
It was an even final from the start, with the teams creating few scoring chances. Chile controlled possession during most of the second half and came closer than Argentina...
10 years ago
Africanjam.ComARGENTINA VS CHILE: DATE, TIME, PREDICTION AND PREVIEW FOR COPA AMERICA FINAL 2015
It’s the final thought most likely ahead of the competition and the one most neutrals will have desired: hosts Chile, seeking a first ever international title, will take on the pre-tournament favorites, Argentina, for the Copa America trophy in Santiago on Saturday. And the pressure for both to deliver the silverware will be phenomenally intense.
For Chile, it surely represents their best ever chance to end their long wait for glory. Not only are they playing in front of a passionate home...
For Chile, it surely represents their best ever chance to end their long wait for glory. Not only are they playing in front of a passionate home...
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Brazil yaingia robo fainali Copa America
Thiago na Firmino wafunga bao kila mmoja na kuisaidia Brazil kujikatia nafasi ya kuingia katika robo fainali ya Copa America
10 years ago
Michuzi10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Copa America:Paraguay yaiondoa Brazil
Paraguay imejikatia tikiti ya nusu fainali ya mchuano wa Copa America baada ya kuilaza Brazil katika hatua ya robo fainali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania