Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Copa America:Paraguay yaiondoa Brazil

Paraguay imejikatia tikiti ya nusu fainali ya mchuano wa Copa America baada ya kuilaza Brazil katika hatua ya robo fainali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

DI MARIA SCORE TWICE IN ARGENTINA 6 - 1 WIN AGAINST PARAGUAY "COPA AMERICA 2015"


Argentina produced their best performance of the Copa America so far to crush Paraguay 6-1 on Tuesday and set up a classic final against hosts Chile.Copa América 2015: Argentina beat Paraguay 6-1 – as it happenedMinute-by-minute report: Angel di Maria scores twice as Argentina produce a dazzling display to reach the Copa America final Read moreAngel di Maria scored twice and Marcos Rojo, Javier Pastore, Sergio Aguero and Gonzalo Higuain also found the net in a brilliant display orchestrated...

 

10 years ago

BBCSwahili

Brazil yaingia robo fainali Copa America

Thiago na Firmino wafunga bao kila mmoja na kuisaidia Brazil kujikatia nafasi ya kuingia katika robo fainali ya Copa America

 

10 years ago

Africanjam.Com

BRAZIL YAAGA COPA AMERICA KWA MIKWAJU YA PENATI


Brazil imetupwa nje ya michuano ya michuano ya Copa America kwa mikwaju ya penati kufuatia kwenda sare ya kufungana goli 1-1 dhidi ya Paraguay kwenye dakika 90 za mchezo na kuufanya mchezo huo kuamuliwa kwa matuta ndipo Brazil walipotupwa nje ya mashindano kwa penati 4-3 kwenye mchezo wa robo fainali uliopigwa kwenye dimba la Ester Roa Rebolledo huko Chile.
Brazil ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kwenye dakika za kawaida (90’) kupitia kwa Robinho aliyeifungia timu yake dakika ya 15 kipindi...

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: MAPOKEZI YA BRAZIL BAADA YA KUTOLEWA COPA AMERICA

Licha ya kutupwa nje ya michuano ya Copa America na timu ya Paraguay, wachezaji wa kikosi cha Brazil walipokelewa kwa shangwe na mashaiki wa nchi hiyo waliojitokeza kwa wingi uwanja wa ndege kuwalaki wachezaji wao waliokuwa wanarudi kutoka nchini Chilile ambako walitupwa nje ya mashindano hayo kwachangamoto ya mikwaju ya penati na timu ya Paraguay.
Brazil 01Tofauti na ilivyokuwa inanatarajiwa na watu wengi, baada ya kutupwa nje kwenye hatua ya robo fainali ya michuano hiyo mikubwa kwenye bara la...

 

10 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: Brasil 3 - 4 Paraguay (PENALTIES) Copa América Chile 27/06/2015




Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chile yafuzu fainali za Copa America

Hii ndio mara ya kwanza Chile imefuzu kuingia fainali kwa miaka 28. Iliweza kuinyuka Peru mabao mawili kwa moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chile ndio mabingwa wa Copa America

Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani