CHINA KUFANYA MKUTANO WA PILI WA USHIRIKIANO NA AFRICA (FOCAS) MWEZI UJAO AFRIKA KUSINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NZx5dTXYRA/VlGtUPxR0lI/AAAAAAAIHvs/v31ChyZce5Y/s72-c/608f2d90-1914-4423-a2b5-6f6ec459e251.jpg)
Balozi mdogo wa china hapa nchini Mhe. Zhang Biao akizungumza na wandishi wa habari kuhusu mkutano wa pili wa ushirikiano na africa utakaofanyika mwezi ujao Nchini Afrika yakusini ambao Utaongozwa na Rais wa China Xi Jinping pamoja na wakuu wanchi wapatao hamsini katikakuangalia furusa zinazo tolewa na China katika kuleta maendeo africa
Mkutano wa pili wa taasisi ya ushirikiano kati ya China na Afrika –FOCAC- utafanyika mjini Johanesburg nchini Afrika kusini mwanzoni mwa mwezi ujao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vjPP182QyvE/VGxe0m2EdKI/AAAAAAAGyLY/ixl_AI1NgXs/s72-c/537.jpg)
Balozi Seif Ali afungua Mkutano wa Kimataifa wa Tano wa Ushirikiano kati ya China na Afrika
![](http://3.bp.blogspot.com/-vjPP182QyvE/VGxe0m2EdKI/AAAAAAAGyLY/ixl_AI1NgXs/s1600/537.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tmk2haEZLeQ/VGxdU8Z0jpI/AAAAAAAGyLA/ePr3J0Bxvkk/s1600/505.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkbCwVnFGl0/VGxdUu8b_OI/AAAAAAAGyK8/1lZKlsY8f3k/s1600/490.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mkutano kujadili ujangili mwezi ujao Dar
SERIKALI imeendelea kuweka mikakati ya kupambana na ujangili nchini kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa. Imeandaa mkutano wa kuwezesha utekelezaji wa shughuli za kuzuia ujangili na kupiga marufuku biashara ya vifaa vinavyotengenezwa kwa meno ya tembo halali na haramu.
10 years ago
Bongo506 Sep
Big Brother Africa: M-Net yatangaza kuwa nyumba mpya imepatikana na show itaendelea ‘mwezi ujao’
11 years ago
Uhuru Newspaper02 Jul
JK asifu ushirikiano TZ na Afrika Kusini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete amesifu uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini na kwamba haujawahi kuwa mzuri kama ilivyo sasa.
Amesema ni muhimu kwa Afrika Kusini kuendelea kuonyesha uongozi mzuri katika Ukanda wa Kusini mwa Afrika kwa sababu kwa kufanya hivyo,Afrika Kusini itakuwa inatimiza jukumu lake la kihistoria.
Rais Kikwete aliyasema hayo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati akiagana na Balozi wa Afrika Kusini hapa Tanzania , Thanduyise Henry Chiliza...
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4wp21XLCpY/VRHOSfkSVoI/AAAAAAAHM9w/jR1P9CARMn8/s1600/unnamedXX.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
9 years ago
Bongo507 Nov
Trey Songz kufanya show nyingine Afrika mwezi December
![Trey Songz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Trey-Songz-300x194.jpg)
Mwimbaji wa RnB, Trey Songz kutoka Marekani anakuja tena Afrika, lakini safari hii anaenda Lagos, Nigeria ambako amethibitishwa kuwa atatumbuiza mwezi December katika tamasha kubwa la Rhythm Unplugged.
Tamasha hilo ambalo hufanyika kila mwaka hukutanisha wasanii karibu wote wa A-List wa Nigeria, pamoja na msanii mmoja mkubwa kutoka nje. Mwaka huu litafanyika Ijumaa ya December 18.
Kwa mwaka huu, hii itakuwa ni mara ya pili kwa Trey Songz kufanya show Afrika, baada ya kutumbuiza Durban na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA 25 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f6T41KzEiUg/VX0BUzf7sgI/AAAAAAAHfSA/IDRjfqJw3t8/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)