Chuo cha CBE Kuaza kutoa Shahada ya Elimu katika Masuala ya Biashara.
![](http://2.bp.blogspot.com/-EH_ZDh3n0pI/VRRwXUTFc5I/AAAAAAABpqc/hUxAm6vNGKg/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) Prof. Emanuel Mjema akizungumza wakati wa mkutano wa wadau na wataalam wa elimu kutoka Taasisi za Elimu, vyuo, walimu wa masomo ya Biashara wa shule za Sekondari waliokutana kupitia Mtaala wa kufundishia mafunzo ya taaluma ya Ualimu katika Biashara leo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Mafunzo ya awali wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dkt. Esther Mbise akitoa ufafanuzi kwa wadau wa Elimu kuhusu uandaaji wa mtaala wa kufundishia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
Chuo cha CBE kuanza kutoa shahada ya elimu katika masuala ya biashara
![Picha na 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Picha-na-2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiJ4hZqJEZYb-h6kTOD5zsMVJPxa-z6s9UoyYL6Gfd1yl23HudJ5c9u-r4BCAbJh83ifbw-0ZVUS84ksjGTxYplv/Pichana1.jpg?width=650)
CHUO CHA CBE KUTOA SHAHADA YA ELIMU KATIKA MASUALA YA BIASHARA.
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA WAHITIMU WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE)
10 years ago
Vijimambo06 Dec
MAHAFALI YA 49 YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA(CBE) KAMPASI YA MBEYA YAFANA.
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Usimamizi wa maadili Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar waongeza ufaulu
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) Prof. Emanuel Mjema akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu maadhimisho miaka 50 ya chuo hicho yanayoendelea jijini Dar es salaam.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Hatua iliyochukuliwa na uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) kuendelea kuweka msisitizo katika usimamizi wa maadili kwa wanafunzi imeanza kuzaa matunda kufuatia kuogezeka kwa ufaulu wa masomo kwa wanafunzi wanaosoma chuoni hapo.
Hayo yamebainishwa leo...
10 years ago
MichuziWANACHUO WAWILI WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) DODOMA WAPATA GPA YA 4.9
Kwa kile ambacho kimeonekana ni tishio kwa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wanafunzi hawa kutoka kampasi ya Dodoma wameweza kupata ufaulu ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWA2yrLrAZvmBWYh6DIcxjsy1FsVGvGE62qCw3hTTzOmrN-HklTad5wEaDtpR7uLh2oDm1Izziuw7XGEYCILI-e/CBE1.jpg?width=650)
USIMAMIZI WA MAADILI CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) DAR ES SALAAM WAONGEZA UFAULU.
10 years ago
VijimamboCHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) CHATOA MSAADA WA MASHUKA HOSPITALI YA WAZAZI META.
10 years ago
MichuziMKUTANO WA WAHITIMU WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) WANAOISHI NYANDA ZA JUU KUSINI