Chuo cha ualimu Ndala chasaidiwa madawati
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umetoa msaada wa madawati 100 yakiwa na tahamani ya sh milioni 8 kwa Chuo cha Ualimu Ndala wilayani Nzega Mkoa wa Tabora....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU CHA RUNGEMBA, MAFINGA, IRINGA
CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA - USAJILI NA. TLF/011P- NAMBA YA KITUO CHA MITIHANI E.643.
1. MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) 'DIPLOMA IN SECONDARY' (DSEE) KWA MIAKA 2 Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha sita (v1) na ufaulu wa principal (1) subsidiary (1) 2. UALIMU DARAJA LA 111-A - NGAZI YA CHETI (CATCE) - KWA MIAKA 2. Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012) au alama 32-34 (kwa mwaka2013) 3. MAFUNZO...
1. MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) 'DIPLOMA IN SECONDARY' (DSEE) KWA MIAKA 2 Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha sita (v1) na ufaulu wa principal (1) subsidiary (1) 2. UALIMU DARAJA LA 111-A - NGAZI YA CHETI (CATCE) - KWA MIAKA 2. Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012) au alama 32-34 (kwa mwaka2013) 3. MAFUNZO...
11 years ago
Michuzi31 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA
USAJILI NA.TLF/011P
NAMBA YA KITUO CHA MITIHANIE.643.
CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015 NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015 ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA. FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com REGEMBA CHUONI -0753 038336 DAR ES SALAAM -BOKO...
CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015 NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015 ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA. FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com REGEMBA CHUONI -0753 038336 DAR ES SALAAM -BOKO...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YABAINI MAPUNGUFU MAKUBWA UJENZI WA CHUO CHA UALIMU CHA AYALABEE WILAYANI KARATU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KTHCUaNJ0dkXtSVVVXvaX*9OKkFSuKBs2ieh8Vt5ZupX6ZiciyhQo4P6NLU6vkyHRzWRP03KS-vLKZceVyxlYJ/WANACHUOVIKINDU1.jpg?width=650)
WANACHUO WA CHUO CHA UALIMU VIKINDU WALAANI UTARATIBU MBOVU WA UGAWAJI CHAKULA
Wanachuo wa Chuo cha Ualimu Vikindu, Pwani wakigombea msosi. Vurugu zikiendelea.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mt4o0riPyCU/Xu3sZ88XMOI/AAAAAAALuvA/LuwDKvYDmDsagTWSdpD8M2LEsIg_WFXigCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B8.31.54%2BAM.jpeg)
PROF NDALICHAKO AKAGUA MAENDELEO UKARABATI CHUO CHA UALIMU MPWAPWA KILICHOGHARIMU BILIONI 2.8
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imeamua kuwekeza kwenye katika uboreshaji wa miundombinu ya Taasisi za Elimu ili kuongeza fursa ya upatikanaji wa elimu kwa watanzania walio wengi.
Kauli hiyo imetolewa wilayani Mpwapwa, Dodoma na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo cha Ualimu Mpwapwa.
Katika ziara hiyo Prof Ndalichako amekagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika chuo hiko ambao umegharimu zaidi ya...
10 years ago
Michuzi28 Apr
WANAFUNZI WA CHUO CHA UALIMU PATANDI WAZUIA BARABARA YA ARUSHA MOSHI KWA SAA MBILI
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/sabas-may10-2013%282%29%281%29.jpg)
kamanda wa polisi mkoa wa ArushaHali ya Sintofahamu imeukumba mji wa Tengeru leo Asubuhi baada ya wanafunzi wa chuo cha ualimu Patandi Kufunga barabara kwa muda wa masaa mawili na kuacha shughuli za maendeleo kusimama kwa muda huku magari ya abiria yanayokwenda katika mikoa ya Kilimanjaro,Tanga na Dar es salaam na mji mdogo wa usa river na maeneo mengine kupata adha hiyo.
Wanafunzi hao walizuia bara bara hiyo wakishinikiza madai yao kusikiliza kwani wameshatoa malalamiko yao kwa uongozi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S7anPHgux_0/Xuryu2ePCdI/AAAAAAALuTw/OAzDTaXJV80TWmW2cof_SDOcHONBy3-_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.05.34%2BAM.jpeg)
MILIONI 800 ZATUMIKA KUKARABATI CHUO CHA UALIMU BUSTANI, WAZIRI NDALICHAKO AHIMIZA UZALENDO
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako amewataka wanachuo nchini kuipenda Nchi yao na kuwa mabalozi wazuri katika kuitetea na kutangaza kazi kubwa inayofanywa na serikali katika kuwatumikia watanzania.
Prof Ndalichako ameyasema hayo leo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo Cha Ualimu Bustani kwa ajili ya kukagua maendeleo yake na kuzungumza na wanafunzi wake.
Akizungumza baada ya kukagua miradi ya maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vxBfHpZvjMg/XmI09SQ-DzI/AAAAAAALhew/TxQkiCvbdQgtH_RJaBNnQsXoZXJKOBNowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAJALIWA AFUNGUA MAKTABA YA CHUO CHA UALIMU KOROGWE, AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA KOROGWE
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mtumishi wa umma asiyetaka kufuata maadili ya utumishi pamoja na maelekezo ya viongozi wake hafai kufanyakazi katika Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Aliyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Machi 5, 2020) wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Korogwe na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa TTC Korogwe akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu alisema uaminifu na...
Aliyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Machi 5, 2020) wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Korogwe na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa TTC Korogwe akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu alisema uaminifu na...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea zawadi mara alipowasili katika Chuo cha Mafunzo ya Amali kiitwacho Tilonia, Wilaya ya Ajmer Jimbo la Rajastan akiwa katika siku ya pili ya ziara yake nchni India pamoja na ujumbe aliofuatana nao.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili Affani Othman Maalim (kulia) kwa niaba ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania