CORONA ITAENDELEA KUWEPO KWA MIEZI KADHAA,NI LAZIMA TUJIFUNZE KUISHI NA CORONA-WAZIRI UMMY.
![](https://1.bp.blogspot.com/-pXfvHhdB2cM/Xr170JqlygI/AAAAAAALqP4/_sDNBrIHHV0EmcI55l3ymRF6xWGBdlmDACLcBGAsYHQ/s72-c/2725f3cd-041e-48b2-883c-5ac3d074d347.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTAASISI YA BMF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII UMMY ASHAURI TUJIFUNZE KUISHI NA CORONA
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto, Ummy Mwalimu amewaasa Watanzania kujifunza kuishi na Corona kwani itakuwepo kwa miezi kadhaa hivyo maisha ni lazima yaendelee na uzalishaji mali uendelee huku wananchi wakiendelea kuchukua tahadhari kwa kufuata miongozo iliyotolewa na waudumu wa afya.
Ameyasema hayo leo Mei 14, 2020 jijini Dar es Salaam alipotembelea mafunzo ya waudumu wa afya ngazi ya jamii yanayotolewa na Wizara ya afya kwa ufadhili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M0uTlRh0GcI/Xs9uWwrQ8oI/AAAAAAALr0E/eSEch24cnFQDQcxr5Jtb5xvTxRNoI2EvgCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
LAZIMA TUJITAFAKARI TUNATAKA KUISHI NA CORONA KWA STAILI GANI? ...TUNAJISAHAU
Na Zainab Nyamka-Michuzi TV
IKIWA zimepita siku kadhaa toka itangazwe kwamba maambukizi ya virusi vya Corona nchini kupungua, tumeanza kushuhudia Watanzania waanza kuishi maisha yale yale...
Sijui ni nani ameturoga sisi watanzania, ina maana tumeshasahau? Au tunaendelea kuamini kuwa hautatupata tena?
Kauli ya Rais Dkt.John Magufuli iheshimiwe na kutekelezwa ila tusisahau wajibu wetu kama wananchi watiifu kwake.Ni sawa maambukizi ya Corona yameoungua lakini tuendelee kujikinga kwani ugonjwa upo...
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Muuguzi wa wagonjwa wa corona ambaye huenda akarejeshwa kwao kwa lazima.
Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani inasikiliza kesi ambayo huenda ikaweka maelfu ya watu hasa watoto ambao waliingizwa nchini humo kinyume cha sheria na wazazi wao katika hatari ya kurejeshwa katika nchi zao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-moTsISVlgWA/XmtO0Rw8gkI/AAAAAAAC01Q/Ocrd6LvFld4xCljYKngg-piHA9Qaz6bcgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI UMMY ATAKA USHIRIKIANO TOKA KWA WADAU VIRUSI VYA CORONA HAVIINGI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-moTsISVlgWA/XmtO0Rw8gkI/AAAAAAAC01Q/Ocrd6LvFld4xCljYKngg-piHA9Qaz6bcgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ummy alisema katika kikao hicho waliwaeleza wadau kama taarifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza hali ya maambukizi ya ugonjwa huo duniani, hivyo kama Serikali ni vyema kuwapatia taarifa wadau hao.
“Tumewapa taarifa wadau wetu na kuwahakikishia kwamba Tanzania hakuna mtu...
5 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AMKABIDHI RC MAKONDA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO KWA AJILI YA KUWAKINGA WANANCHI NA CORONA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6V7YaXvrfzI/XnzD-bAvJqI/AAAAAAALlLc/Bk6vRVfJCTQvAhCn8uyqzgRBzxosfdLDgCLcBGAsYHQ/s72-c/b465c6b7-3955-4c06-a0f5-de0d41580dc6.jpg)
HADI SASA TUMEWEZA KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA NDANI KWA NDANI YA CORONA-WAZIRI UMMY
![](https://1.bp.blogspot.com/-6V7YaXvrfzI/XnzD-bAvJqI/AAAAAAALlLc/Bk6vRVfJCTQvAhCn8uyqzgRBzxosfdLDgCLcBGAsYHQ/s640/b465c6b7-3955-4c06-a0f5-de0d41580dc6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/e9604a83-608f-4ca9-8016-3293627cb11e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/9e24401b-c91f-449a-b33a-c864378a7be1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/35e603bc-d919-451b-9590-3e00ae02500d.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula wakifuatilia neno kutoka kwa Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu (hayupo kwenye picha, wakati akiongea na Waandishi wa Habari juu ya mwenendo wa ugonjwa wa Corona...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u1CBlew7DVk/XmpCZgv7QsI/AAAAAAALizA/9ynogHM7zgkrYCKXR2yfDT6Lv27Qa-mFQCLcBGAsYHQ/s72-c/LI1.jpg)
WADAU TUSHIRIKIANE KUKABILIANA NA CORONA – WAZIRI UMMY
![](https://1.bp.blogspot.com/-u1CBlew7DVk/XmpCZgv7QsI/AAAAAAALizA/9ynogHM7zgkrYCKXR2yfDT6Lv27Qa-mFQCLcBGAsYHQ/s640/LI1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/LI2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/LI3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Aw1dNUQX24M/Xt-p010FckI/AAAAAAAC7Kk/CKasOsnrj6IzVvfCFhsF3lCbfvTLrCMMQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI UMMY: CORONA YAENDELEA KUISHA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Aw1dNUQX24M/Xt-p010FckI/AAAAAAAC7Kk/CKasOsnrj6IzVvfCFhsF3lCbfvTLrCMMQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati alipotembelea kituo cha afya cha Mkonze kilichotengwa kwa ajili ya kuwahudumia watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Corona jijini Dodoma na kukuta vitanda vikiwa tupu bila kuwa na mgonjwa yeyote kwa zaidi ya wiki.
Waziri Ummy amesema...
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KUDHIBITI CORONA -WAZIRI UMMY
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) Ummy Mwalimu kushoto akikata utepe wakati wa uzinduzi wa makabidhiano ya vifaa vya Kunawia Mikono kudhibiti ugonjwa wa Covid 19 Mkoa wa Tanga kulia ni Country Director Water Mission Benjamini Filskov .
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) Ummy Mwalimu akisisitiza jambo kwa Mganga Mfawidhi wa kituo cha Afya Ngamiani Angelina...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania