Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Mwanafunzi wa Cameroon asimulia alivyopona

Mwanafunzi raia wa Cameroon anayesomea China- Kem Senoua ni mwafrika wa kwanza kuambukizwa virusi vya corona - amezungumza na BBC.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mwanafunzi UDSM aliyejirusha ghorofani asimulia

Pg 1Hadia Khamis na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini kutokana na hofu ya moto uliotokea katika Hosteli ya Mabibo, amevunjika mfupa wa bega.
Mwanafunzi huyo alijirusha kupitia dirishani juzi katika harakati za kujiokoa na moto baada ya jengo la wasichana, Block A kushika moto huku wanafunzi wakiwa vyumbani wakiendelea na shughuli zao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cecilia ambaye ni...

 

5 years ago

BBC

Coronavirus: A Cameroon student on how he recovered

China-based student Kem Senoua is the first African to contract the virus - he spoke to the BBC.

 

5 years ago

BBC

Cameroon rebels declare coronavirus ceasefire

It is hoped more militias will follow suit to allow people to get medical treatment amid the pandemic.

 

5 years ago

BBC

Coronavirus in Cameroon: Can the virus be a catalyst for peace?

Rebels in Cameroon join other armed groups around the world calling for ceasefires to tackle Covid-19.

 

5 years ago

BBC

Coronavirus: Eto'o plans to help 100,000 in Cameroon

Former Barcelona and Cameroon striker Samuel Eto'o has said he will distribute supplies to 100,000 people to help support efforts to combat coronavirus in his home country.

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA

Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...

 

10 years ago

GPL

MKE ASIMULIA MATESO ALIYOPATA YP

Na  Deogratius Mongela na Chande dallah
MKE wa aliyekuwa memba wa Kundi la TMK Family, Yessaya Ambikile ‘YP’ aliyefariki katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar, Sakina Robert amefungukia mateso aliyopitia mumewe hadi umauti ulipomkuta usiku wa Oktoba 20, mwaka huu. Mke wa marehemu Yessaya Ambikile ‘YP’ aliyefariki katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar, Sakina Robert akilia kwa uchungu katika...

 

11 years ago

GPL

RAY C ASIMULIA ALIVYOKICHUNGULIA KIFO

Stori: MUSA MATEJA
MUNGU mkubwa! Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesimulia jinsi alivyochungulia kifo baada ya kutikiswa na ugonjwa hatari na tishio ulioibuka hivi karibuni wa Homa ya Dengue. Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, akiwa kwenye red carpet ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards. Akifunguka mbele ya gazeti hili juzi baada ya...

 

5 years ago

CHADEMA Blog

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani