CRDB-TAWI LA LUMUMBA WASHEREKEA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA WATOTO JIJINI DAR

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB wa tawi la Lumumba, Saugata Bandyopadhiyay akimlisha keki mtoto katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika iliyofanyika katika Benki hiyo Tawi la Lumumba,Naibu Mkurugenzi huyo aliitaka jamii kuwawekea watoto akiba kwenye akaunti ya Junior Jumbo akaunti ambayo itawasaidia watoto baadae katika kutimiza malengo yao.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Tawi la Lumumba, Saugata Bandyopadhiyay akilishwa keki na Mkurugenzi wa Benki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA JUMBO JUNIOR ACCOUNT
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUTUMIA AKAUNTI YA JUNIOR JUMBO
Benki ya CRDB imetoa misaada mbalimbali kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Msimbazi centre.
Hatua hiyo imetokana na maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yenye kauli mbiu ya elimu bora kwa wote.
Akizungumza Jana jijini Dar es salaam Meneja wa benki hiyo Tawi la Premier, Fabiola Mussula, alisema kuwa benki hiyo imeadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kupitia akaunti ya Junior Jumbo.
Alisema kuwa akaunti ya mtoto humsaidia mzazi kuhakikisha anahifadhi ada na...
10 years ago
Michuzi
BENKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WAWASHUKURU WATEJA KWA KUWAPA ZAWADI JIJINI DAR LEO.


11 years ago
Michuzi.jpg)
CRDB Lumumba, Yaadhimisha Siku ya Huduma kwa Wateja Kwa Kuwakumbuka Wenye Ulemavu
11 years ago
Michuzi.jpg)
Wauguzi Washerekea siku yao leo jijini Arusha
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziBANKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WATOA MISAADA KWA WATOTO WANAOLELEWA MSIMBAZI CENTER.
Baadhi ya Wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Water Front wakitoa misaada katika kituo cha kulelea watoto wa chini ya miaka minne(4) yatima katika kituo cha Msimbazi Chidrens Home kilichopo Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam leo.
Crediti manaja wa Benki ya CRDB, tawi la Water front, Isaya Lyimo akimpa maelekezo Sista wa kituo cha watoto yatima cha Msimbazi Chidrens Home kilichopo Msimbazi Centre, Sista Anna Marandu mara baada ya wafanykazi wa tawi hilo kutoa msaada wa vitu mbalimbali...
10 years ago
MichuziSIKU YA 2 :BENKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WAENDELEA KUADHIMISHA WIKI HUDUMA KWA WATEJA
11 years ago
Michuzi
Wafanyakazi wa Citi Bank tawi la Tanzania watoa msaada kwenye Kitengo cha Watoto wenye Ulemavu wa akili,Tandika jijini Dar
9 years ago
Michuzi
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

