Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dangote Cement to launch Mtwara plant next month

Dangote Cement has announced that it will inaugurate its new 3-million- tonne per annum cement plant in Mtwara on October 10.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Marketscreener.Com

Dangote Cement : Backs Buhari On Border Closure

Dangote Cement : Backs Buhari On Border Closure  marketscreener.comDangote Cement report N610 billion in revenue  NairametricsDangote backs FG on border closure  The PunchDangote backs Buhari on border closure  VanguardDangote to now export cement from Congo as Nigeria keeps borders closed  NairametricsView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA KIWANDA CHA DANGOTE KUANZA KUJENGA GATI LA KUPAKIA CEMENT

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi akijadiliana jambo na Alhaji Aliko Dangote kuhusu ujenzi wa Gati katika Bandari ya Mtwara.Katikati ni Waziri wa Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa Mh Hawa Ghasia. Waziri wa Serikali za mitaa na tawala za mikoa Mh Hawa Ghasia (MB) akiwa na viongozi wa serikali na wa mkoa wa Mtwara katika kumpokea Bilionea Alhaji Aliko Dangote ambaye amekuja katika mazungumzo kuhusu kushirikiana na Serikali katika ujenzi wa Gati lakupakilia Cement ilikuwezesha...

 

10 years ago

Habarileo

Dangote ‘kufumua‘ bandari ya Mtwara

UWEZO wa bandari ya Mtwara unatarajiwa kuongezeka mara dufu kufuatia kufunguliwa rasmi kwa kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa kuliko vyote Afrika Mashariki.

 

10 years ago

TheCitizen

Mtwara gas plant project to take 7 yrs

Construction of Liquefied Natural Gas (LNG) plant in Mtwara will take seven years from 2015, The Citizen on Saturday learnt yesterday.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Ahsante Dangote kuiweka Mtwara katika ramani ya dunia

Rais Jakaya Kikwete amempongeza mfanyabiashara, Aliko Dangote kuuweka Mkoa wa Mtwara katika ramani ya dunia, kutokana na kuwekeza mradi mkubwa wa kiwanda cha saruji mkoani hapa, ambacho kimegharimu Dola za Marekani 600 milioni.

 

10 years ago

Michuzi

Dangote Cement wins Business of the Year award at the African Business Awards ceremony on the sidelines of the UN General Assembly in New York(version française ci-dessous).

From left to right: Katerina Kyrili (BIMA), Oyinade Ogunade (GT Bank), Oscar Onyema (Nigerian Stock Exchange), Helen Hai (Made in Africa Initiative), Mohammed Dewji (MeTL), Daphne Mashile Nkosi (Kalagadi Manganese), Arun Menon (Abellon).Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai and Mohammed Dewji are among the top business leaders who were recognised at the 2015 African Business Awards held tonight at the Four Seasons Hotel in New York, on the sidelines of the UN General Assembly. The...

 

10 years ago

Michuzi

BILIONEA DANGOTE AKAGUA UFUKWE ATAKAOJENGA BANDARI YAKE YA KISASA MTWARA

 Mfanyabiashara maarufu Afrika, ambaye ni Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko Dabgote akinyoosha mkono kuangalia eneo la ufukwe wa Bahari ya Hindi katika Kijiji cha Mgao, Kata ya Maumbu, Tarafa ya Mayanga, Mtwara Vijijini, ambapo atajenga bandari yake ya kisasa kwa ajili kusafirisha saruji itakayozalishwa kwenye kiwanda chake kikubwa kinachojengwa katika Kijiji cha Msijute. Alhaji Dangote akiwa na viongozi wa Kijiji cha Mgao pamoja na...

 

10 years ago

CloudsFM

BILIONEA DANGOTE AKAGUA UJENZI WA KIWANDA CHAKE CHA SARUJI MTWARA

Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Industries Group), mfanyabiashara maarufu Afrika, Alhaji Aliko Dangote akitumia gari kukagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake kikubwa cha saruji katika Kijiji cha Msijute, mkoani Mtwara leo.Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Industries Group), mfanyabiashara maarufu Afrika, Alhaji Aliko Dangote (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Dangote nchini, Esther Baruti kwenye Uwanja wa Ndege...

 

10 years ago

Dewji Blog

DANGOTE akagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake kikubwa cha Saruji Mtwara

 Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Group of Industries), Alhaji Aliko Dangote (kulia) mfanyabiashara maarufu kutoka Nigeria, akiteremka kwenye ndege alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mtwara, kwenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha saruji kinachojengwa mkoani humo.,

 Dangote akilakiwa na Mwakilishi Mkazi wa kampuni hiyo nchini, Esther Baruti (kushoto)

 Dangote akisalimiana na Balozi Mdogo wa Nigeria nchini, Adamu Mussa

 Dangote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani