Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARAJA LA EDMUND PETTUS ALILOTUMIA DR KING KWA MATEMBEZI YA KUPINGA WEUSI KUTOKUPIGA KURA

Hili ndio daraja lililopo mji wa Selma jimbo la Alabama yalikofanyika matembezi yaliyoongozwa na Dr Martin Luther King mwaka 1965 kupinga Wamarekani weusi kutokupiga kura katika matembezi hayo ambayo mara ya kwanza yalishindwa baada ya polisi kuapiga Wamerekani weusi na wengine kupoteza maisha na mara ya pili ya matembezi hayo kuungwa mkono na Wamarekani wa rangi zote kutoka majimbo mengine huku yakiongozwa na Dr. Martin Luther King mwenyewe japo hawakuweza kuvuka lakini mauaji hayakutokea...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Utafutwe mwarobaini wa watu kutokupiga kura

TUMESHUHUDIA uchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ukimalizika huku wananchi 29,541 pekee wakijitokeza kupiga kura wakati idadi kamili ya waliopaswa kupiga kura ikiwa ni 71,964. Hesabu hiyo ni sawa...

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO WAFANYIKA LEO JIJINI DAR

  Baadhi ya Wanafunzi kutoka shule mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi wa matembezi ya maadhimisho  ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya Wanawake na watoto yaliyofanyika katika viwanja vya Oysterbay Polisi,leo Jijin Dar.    Baadhi ya Wanafunzi kutoka shule mbalimbali  wakiongozwa na Brass band yaJeshi la Polisi,wakiwa kwenye uzinduzi wa matembezi ya maadhimisho  ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya Wanawake na watoto yaliyofanyika katika viwanja vya Oysterbay Polisi,leo Jijin Dar.

 

10 years ago

Vijimambo

KANISA LA BAPTIST ALILOKUA AKITUMIA DR KING KATIKA HARAKATI ZA KUPINGA UBAGUZI

 Kanisa la Baptist lililopo jiji la Birmingham jimbo la Alabama kanisa alilokua akilitumia Dr. Martin Luther King miaka ya 1965 katika kuendeleza harakati za kupinga ubaguzi wa Wamarekani weusi mpaka kupelekea kanisa hili kupigwa bomu lililoua watoto wanne. Kanisa hili lipo barabara ya 16 N na barabara ya 6 N kwenye mji huo wa Birmingham.Watu kutoka kila kona ikiwemo Vijimambo wakitengeneza historia ya kufika mahali ambapo Dr. Martin Luther King alipatumia kuendeleza harakati zake za kupinga...

 

10 years ago

Bongo5

Weusi kuzindua video zao 5 mpya kwenye show ya ‘Funga mwaka la Weusi’ Jumamosi hii Dar

Familia ya Weusi inaendelea kuonesha matunda ya muungano wao, wakiwa wanaendelea na ziara ya show zao za Funga mwaka, wiki hii Weusi wanatarajia kuzindua video zao tano kwa mpigo pale Escape One, jijini Dar es salaam. Msemaji wa kundi hilo Nikki Wa Pili amezitaja video watakazozindua Jumamosi hii November 29, kuwa ni video yake ya […]

 

10 years ago

Vijimambo

Majina ya wapiga kura yachomwa moto Dar kupinga kituo hewa

Kasheshe iliibuka katika zoezi la uandikishaji la wakazi katika Mtaa wa Mbondole katika Kata ya Msongola Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam baada ya makarani kuandikisha majina kwenye kituo bubu cha Shule ya Msingi Mbondole.

Tukio hilo lilitokea juzi asubuhi baada ya Uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) tawi la Mbondole kubaini mbinu hiyo kuwa inaweza kutumika kuandisha majina watu ambao siyo wakazi, hivyo kuamuru kituo hicho kisitishwe na kuhamia kituo cha Sekondari ya Mbondole.

Wanachama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi afutwa kazi kwa kudhulumu weusi

Polisi mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada kuonekana akihangaisha kundi la vijana weusi

 

10 years ago

BBCSwahili

Watson, Ward, Edmund watupwa Melbourne

Wachezaji tenesi Heather Watson, James Ward na Kyle Edmund wamepoteza michezo

 

10 years ago

Vijimambo

SAUDI ARABIA WAMZIKA KING WAO ''KING ADBULLAH''


Obama Receives Gold Necklace From Saudi King AbdullahThe late Saudi king - pictured here with President Obama in 2010 - had been in hospital since December''Saudi King Abdullah was buried in an unmarked grave in Riyadh following his funeral this afternoon, less than a day after he died''The body of King Abdullah has been buried in an unmarked grave in Riyadh less than 24 hours after his death plunged Saudi Arabia into mourning.Family, friends and dignitaries from the Arab world crowded...

 

9 years ago

Bongo5

Music: King Poza Ft Sultan King — Nampenda

Msanii King Pozza toka Zanzibar ameachia wimbo mpya unaitwa “Nampenda” amemshirikisha Sultan King Producer Aloneym. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani