DC akabidhi madawati 200 Sikonge
SERIKALI wilayani Sikonge, Tabora imekabidhi madawati 214 kwa shule za msingi 10 yenye thamani ya sh milioni 13.9. Mkuu wa Wilaya (DC) ya Sikonge, Hanifa Selengu, alikabidhi madawati hayo baada...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 May
WAZIRI MKUU AKABIDHI MADAWATI 45 KIEMBESAMAKI
*Aahidi kuchangia madawati 135 na viti vyake
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameahidi kuchangia madawati 135 na viti vyake kwenye shule ya msingi Kiembesamaki iliyoko wilaya ya Magharibi mkoa wa Mjini Magharibi ikiwa ni mwitikio wa maombi aliyopewa na shule hiyo.
Ametoa ahadi hiyo jana (Jumamosi, Mei 2, 2015), wakati akikabidhi msaada wa madawati 45 na viti vyake yenye thamani ya sh. milioni 3.83/- yaliyotolewa na kampuni ya Jambo Plastics ya Dar es Salaam ili kupunguza uhaba wa madawati...
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameahidi kuchangia madawati 135 na viti vyake kwenye shule ya msingi Kiembesamaki iliyoko wilaya ya Magharibi mkoa wa Mjini Magharibi ikiwa ni mwitikio wa maombi aliyopewa na shule hiyo.
Ametoa ahadi hiyo jana (Jumamosi, Mei 2, 2015), wakati akikabidhi msaada wa madawati 45 na viti vyake yenye thamani ya sh. milioni 3.83/- yaliyotolewa na kampuni ya Jambo Plastics ya Dar es Salaam ili kupunguza uhaba wa madawati...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
mhe mizengo pinda akabidhi madawati skuli ya kiembesamaki, zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tL15OZmbuM/VUamcIQNgvI/AAAAAAAHVCI/WfF3dgl_FUs/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eof9NweqcHs/VUamcPb6xlI/AAAAAAAHVB8/CUqMi61FJYk/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
MichuziMh. Ndugulile akabidhi madawati 650 kwa Shule 12 Tarafa ya Mbagala
9 years ago
VijimamboBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati 200 kwa Shule ya Msingi Buyuni iliyopo ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Madawati hayo yametolewa na Benki ya CRDB ili kukabiliana na upungufu wa madawati shuleni hapo.
11 years ago
MichuziMama Mwanamwema Shein akabidhi madawati kwa Skuli ya Msingi Mgenihaji Wilaya ya Kati Unguja
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA, DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboMAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI SAMPULI ZA MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI MADARASA YA AWALI LINDI MJINI
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE YA KUTIMIZA MWAKA VIKUNDI VYA WAMA HUKO NACHINGWEA/AKABIDHI MADAWATI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania