Diaspora kuwekeza hisa, mtaji UTT
Watanzania wanaoishi nje ya nchi (Diaspora), wameonyesha mwamko wa uwekezaji wa hisa na mitaji katika mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), kutokana na elimu waliyoipata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Nov
Watanzania washauriwa kuwekeza katika Hisa Kukuza Mtaji
Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwekeza katika hisa na kutumia fursa za kibenki kwaajili ya kujiwekea akiba ya matumizi ya baadaye ili kuondokana na mazingira magumu ya kiuchumi.
Takwimu zinaonesha kuwa, mataifa mbalimbali yaliyoendelea duniani, yameweza kuwa na uchumi imara kutokana na uwekezaji katika sekta binafsi na ushirikishwaji wa wananchi katika shughuli mbalimbali za kiuchumi.
Katika mkutano wa 10 wa mwaka wa Mfuko wa Umoja wa kampuni ya Uwekezaji Tanzania (UTT) wenye...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CMHJnrP5BDU/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h7DcfYNIl10/VoFUUvdrRQI/AAAAAAABmRU/yL9OtgUCqI4/s72-c/utt.jpg)
UTT AMIS YAHAMASISHA WANAVIKOBA ARUSHA KUWEKEZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7DcfYNIl10/VoFUUvdrRQI/AAAAAAABmRU/yL9OtgUCqI4/s640/utt.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OP4eKPY7do0/VoE9doZIe_I/AAAAAAABmP0/LMO0UPWFreE/s640/IMG-20151228-WA0032.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tthAoj9CfEg/VoE9eRUTUJI/AAAAAAABmQA/56-54TTpoKs/s640/IMG-20151228-WA0034.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_sw8jqYwVGY/VoE9fl0ONjI/AAAAAAABmQQ/wSSwt_Glggw/s640/IMG-20151228-WA0036.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Mkombozi yaanza kuuza hisa zake kukuza mtaji kufikia Sh18 bilioni
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wengi bado wana kigugumizi kuwekeza fedha soko la hisa
9 years ago
VijimamboSTANBIC TANZANIA YAISAIDIA PTA KUWEKEZA BILIONI 32 SOKO LA HISA DSM
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!
Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki (kushoto) na Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) inafanya miradi mbalimbali ikiwemo huduma za uuzwaji wa viwanja katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WLG6bHcteT8/U2zHS_i7-fI/AAAAAAAA-e8/mMQKq_Bc1T8/s72-c/c6.jpg)
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...