Diwani Sagamiko aandaa warsha kwa wenyeviti na makatibu UWT Kinondoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bkum41SLWnY/U_NKmCWXrHI/AAAAAAAGAvQ/b169CgMubWY/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
DIWANI wa Viti Maalum Msasani, Kuluthum Sagamiko ameandaa warsha kwa ajili ya wenyeviti na makatibu wa Umoja wa Wanawake (UWT) wilaya ya Kinondoni kwa ajili ya mafunzo ya kujiimarisha kichama na ujasiriamali kwa wanawake.
Warsha hiyo ilifanyika Dar es salaam jana, ambapo jumla ya viongozi hao kutoka kwenye kata 34 za wilaya hiyo walishiriki na kuweka mikakati ya pamoja.
Akifungua warsha hiyo, Naibu Katibu Mkuu Bara, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Eva Mwingizi, aliwataka kuwa mstari wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-agGXGgOEjrc/XtDlv1DIEeI/AAAAAAACLzw/-Mob0omv7D0k7CAAnGKMBHd6F8pPWoHVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200529_133539.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
UWT Singida vijijini wafanya uchaguzi wa diwani wa viti maalum
Wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wilaya ya Singida vijijini, waliohudhuria mkutano mkuu wa uchaguzi wa viti maalum madiwani. Mkutano huo umefanyika jana (22/7/2015) kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mjumbe wa jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Singida vijijini,a kipiga kura kuchagua diwani wa viti maalum jana (22/7/2015) kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa.
10 years ago
Habarileo11 Feb
Wenyeviti mitaa Kinondoni wabanwa
WENYEVITI wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam wametakiwa kuwasimamia watendaji wao kutekeleza miradi ya kijamii ili kuharakisha hali bora za maisha kwa wananchi wao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0005.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWAONYA MAKATIBU WA WILAYA, MIKOA WANAOZEMBEA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WENYEVITI WA MASHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200216-WA0005.jpg)
Februari 15, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa onyo kwa Makatibu wa CCM wa Mikoa na Wilaya ambao hawajatekeleza agizo la kuandaa vitambulisho kwa ajili ya Wenyeviti wa mashina (Mabalozi) katika maeneo yao.
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s72-c/001.jpg)
Meya Manispaa ya Kinondoni aagiza Wenyeviti kusimamia Watendaji kutekeleza Miradi
![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpVmqRkZWd4/VNpBq9p9b0I/AAAAAAAHC6M/67-d_JcY8pg/s1600/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KJWyn7vRjbI/VNpBqm3ouBI/AAAAAAAHC6I/9UfIJZzWu_4/s1600/003.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SFBmNG-vdA8/VNpBvN9cjxI/AAAAAAAHC6k/4yzQQs93Bng/s1600/004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kv8V6MVer8k/VNpBvVgv_YI/AAAAAAAHC6g/479e0-HWfJU/s1600/005.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
FATILIA LIVE HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAKATIBU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU INAYOYANYIKA IKULU HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
BOFYA HAPA KUONA LIVE HAFLA HIYO
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s72-c/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
BALOZI SEFUE AONGOZA SEMINA ELEKEZI YA SIKU MOJA KWA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s640/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EW_9heKjo3k/VofTZIxXbSI/AAAAAAAIP3k/j3RDiPoKX_c/s640/32461e58-2202-41b7-ab40-5c9d34cf6987.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9bqIpjBTLLA/VofTgqJNXzI/AAAAAAAIP30/IMj-aapt67s/s640/4f01b802-e7c6-4c2c-92e6-788711775102.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a3bA2icJ1VI/VofThRQ6cTI/AAAAAAAIP34/lSEqqn0HTGg/s640/4fc6420c-51c8-453d-b799-7121f57db92e.jpg)
10 years ago
Vijimambo06 Nov
Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10