Dk. Magufuli awaapisha mawaziri 5, naibu 1
Rais John Magufuli amewaapisha mawaziri watano na naibu waziri mmoja waliosalia kwenye baraza la kwanza la mawaziri la Serikali ya awamu ya tano na kufanya sasa baraza hilo kukamilika kwa kuwa na mawaziri 19 na manaibu waziri 15.
Mawaziri hawa wanaungana na wenzao kuongoza baraza hilo lenye wizara 18 ambao waliapishwa Desemba 12 mwaka huu.
Ikulu Jijini Dar es Salaam, Rais Dk. John Magufuli anawaapisha mawaziri hawa, ambao wengi kati yao wameahidi kutekeleza vipaumbele kwenye wizara zao kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-gZqCiFX07-o/VoEudkOht8I/AAAAAAAAsvE/UIytqp8mc88/s72-c/01..jpg)
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI NA NAIBU WAZIRI ALIOWATEUA KUJAZA NAFASI ZILIZOSALIA, IKULU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-gZqCiFX07-o/VoEudkOht8I/AAAAAAAAsvE/UIytqp8mc88/s640/01..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GX6l7PpGWcs/VoEvB7T8KFI/AAAAAAAAswc/pbOgdXRVtOQ/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eN6k8naWcow/VoEucFgu1TI/AAAAAAAAsu8/eYQ79baNsEc/s640/02.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)
9 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI AWAAPISHA LEO MAWAZIRI WAPYA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CgQvm1a54zI/VoEBkvE--OI/AAAAAAAAqPk/Q-jcG8qzT6E/s640/PICHA%2B3.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CgQvm1a54zI/VoEBkvE--OI/AAAAAAAAqPk/Q-jcG8qzT6E/s72-c/PICHA%2B3.png)
RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CgQvm1a54zI/VoEBkvE--OI/AAAAAAAAqPk/Q-jcG8qzT6E/s640/PICHA%2B3.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1E4ba-7TFsQ/VmvyutuejCI/AAAAAAAILwc/BIuS9IqJUAI/s72-c/MMG_2583.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI LEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1E4ba-7TFsQ/VmvyutuejCI/AAAAAAAILwc/BIuS9IqJUAI/s640/MMG_2583.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ogRoevG5yFI/Vmv1aNbcIvI/AAAAAAAILxI/1ETFwJp5i-A/s640/MMG_2597.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B7QMLzSOBtE/VoZIl8cobfI/AAAAAAAIPuA/hYWv2JlW16M/s72-c/MMG_4988.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU WAKUU WAKE LEO IKULU JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-B7QMLzSOBtE/VoZIl8cobfI/AAAAAAAIPuA/hYWv2JlW16M/s640/MMG_4988.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wmBWR0NbJKU/VoZIkRGu4PI/AAAAAAAIPt4/Nv-cD0n2iAk/s640/MMG_4972.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzvNS8CTPKaZcFuy4XRvfw4yHPDa-yg29l5uALiOq6vFDVFi42a2X6rjQs8uYnUmgMXUrDMq9RugxPdh5HuPMi15/ombeni.jpg)
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Sefue Ombeni. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- 1.0 OFISI YA RAIS
Hakuna mabadiliko. 2.0 OFISI YA MAKAMU WA RAIS
2.1 Waziri wa… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vsoCC57q5M0/U_uGXYZft6I/AAAAAAAGCW4/0t_TJGATYms/s72-c/IMG_1932.jpg)
DKT. SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI WAPYA IKULU ZANZIBAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsoCC57q5M0/U_uGXYZft6I/AAAAAAAGCW4/0t_TJGATYms/s1600/IMG_1932.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4NvpemUM1ck/U_uGWJ5ZapI/AAAAAAAGCWw/xJdSvKDKFOo/s1600/IMG_1947.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qaHceRMmYnA/U_uGXW5JPOI/AAAAAAAGCW8/3W0BMvlfDlo/s1600/IMG_1958.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10