Dk. Shein aapisha mawaziri, wakuu wa mikoa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein jana aliwaapisha mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya waliopewa majukumu mapya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)
10 years ago
VijimamboDk.Shein Afungua Semina ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Hawa Abdulrahman Ghasia alipowasili katika viwanja vya Sea Cliff Mangapwani Mkoa wa Kaskazi/ni B Unguja leo alipofika kufungua semina ya Viongozi wa Juu Mikoa na Wilaya za Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtqGcwKbppqvVEim*fXwGQ9Abeh-MtkpQsPBxRRXsWDCACqV*m1BFqH7pdgoQjYQLfbyF3EoBgdipVXDtXbfQWwi/RAISKIKWETE.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AAPISHA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI IKULU DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMQRw3H5tD1M9JsGYg3K92MFQ1UW0gsCrkr8nDvCQWqhZtP8hlG-WNLkteohGsIzOeIstszQ-dpItn4eaJ-LSKZJ/unnamed1.jpg?width=650)
DKT. SHEIN AAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI MJINI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9vh4H9aWpSA/VHjOjiHPibI/AAAAAAAGz_U/TfBIHquJRLU/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DKT. SHEIN AAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI MJINI ZANZIBAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-9vh4H9aWpSA/VHjOjiHPibI/AAAAAAAGz_U/TfBIHquJRLU/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt. Juma Yakout Juma kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dTZbewJQhrE/VHjPDqc6zFI/AAAAAAAG0AY/e2wchWkGoOA/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qkIe0m4OE2k/VHjOj1wfjGI/AAAAAAAGz_E/Jw1NfHbYnrA/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JBLBLEDKFbs/UvvGGZ0UxeI/AAAAAAAFMqk/jA0w3RTUdDQ/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-U9MHjjlEWcY/VFtu1D7NXzI/AAAAAAAGvzA/pPKzgZeOo6I/s1600/unnamed%2B%2839%29.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU, MABALOZI,WAKUU WA MIKOA NA MAKATIBU TAWALA WAPYA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-aEGBszvWfgk/VFqC8Mm9NHI/AAAAAAAArmc/Z7_QVP0NEL8/s1600/JK%2B3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, MAKATIBU WAKUU WANNE
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...