DK. SHEIN AWASILI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Dodoma Dk.Reheme Nchimbi alipowasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo kuhudhuria katika Hafla ya kukabidhi Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalum la katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na aliyekua Spika wa Bunge la Malum la Katiba Samuel Sitta alipowasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo kuhudhuria katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
DKT. SHEIN AWASILI MJINI DODOMA LEO TAYARI KWA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MKUU AWASILI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
Rais Kikwete awasili mjini Dodoma
.jpg)
.jpg)
5 years ago
CCM Blog
DK. MAGUFULI NA DK. SHEIN WATETA KABLA YA KUANZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM, IKULU YA CHAMEINO MJINI DODOMA, LEO

10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AWASILI MJINI DODOMA
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
DK. SHEIN AWASILI COMORO LEO
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPLDK. SHEIN AWASILI KISIWANI PEMBA LEO
11 years ago
Dewji Blog19 Aug
JK awasili mjini Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM
Rais Jakaya Kikwete akialimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM August 19, 2014. Kushoto ni Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Adam Kimbisa. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu).
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma August 19, 2014. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Dr. Ali Mohamed Shein, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,...