DK.SHEIN ALIZINDUA TAMASHA LA 18 LA KIMATAIFA LA FILAMU LA NCHI ZA JAHAZI ZANZIBAR ( ZIFF )
![](http://1.bp.blogspot.com/-8tvOxinAP58/Vayp0mgnksI/AAAAAAABDD0/4dnT72HV-0k/s72-c/623.jpg)
Wasanii wa Kikundi cha Tausi Kilicho chini ya Gwiji la Sanaa Nchini Bibi Maryam Hamdan kikitoa burdani ya Maulidi ya Homu kwenye uzinduzi wa Tamasha la 18 la Filam la Nchi za Jahazi Zanzibar (ZIFF) hapo Hoteli ya Double Tree By Hilton Shangani Mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Tamasha la Filam la Nchi za Jahazi Zanzibar { ZIFF } Profesa Martin Mhando akitoa neneo la makaribisho kwenye uzinduzi wa Tamasha hilo hapo shangani.
Meneja wa Taasisi ya Kimataifa inayosimamia kukuza vipaji vya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTAMASHA LA KIMATAIFA LA FILAMU 'ZIFF' LAFANA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AMUWAKILISHA DK. SHEIN KUFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MUZIKI KWA NCHI ZA JAHAZI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ekSgJ1pFI3A/Va8pWBOOQXI/AAAAAAABDWI/0wtzzuIhQjw/s72-c/763.jpg)
DK. SHEIN ALIZINDUA TAMASHA LA 20 LA UTAMUDINI WA MZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekSgJ1pFI3A/Va8pWBOOQXI/AAAAAAABDWI/0wtzzuIhQjw/s640/763.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_Dwkl-Ctkg/Va8pWuLmauI/AAAAAAABDWM/JMiSwPSXI5k/s640/765.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OIiZhT9dlno/Va8pW_BaAXI/AAAAAAABDWU/BaJPN0I5S6U/s640/767.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vmyApsdlU34/Va8pZGOglbI/AAAAAAABDWg/R2bWbLJ4keU/s640/768.jpg)
10 years ago
MichuziTAMASHA LA NCHI ZA JAHAZI 2015 KUFANYIKA NGOME KONGWE ZANZIBAR KUANZIA JULAI 18 HADI 26
10 years ago
MichuziMaalim Seif afungua mkutano wa kimataifa wa siku nne wa muziki kwa nchi za jahazi, Zanzibar
BOFYA HAPA KWA HABARI...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Filamu ya “I Shot Bi Kidude” kuonyeshwa tamasha la Ziff 2015 Jumapili hii ndani ya Ngome Kongwe, Zanzibar
‘Makala ya Kusisimua yenye matukio yenye hisia nzito.’
Andy Markowitz, Tovuti ya Muziki wa Filamu Music Film Web
‘Tafakari ya kusisimua ya urafiki usio wa kawaida kati ya Kijana Mtengenezaji wa filamu na diva wa Zanzibar mzee wa miaka 100 Zanzibar diva’ Garth Cartwright – mwandishi, “More Miles Than Money”Umbali mkubwa kuliko fedha”
‘Uwasilishaji wa wa nyota …iliyofifia na kuifanya ing’are upya’.
Martin Mhando, Mkurugenzi ZIFF
Nilimpiga Picha Bi Kidude “I Shot Bi Kidude”, ni makala mpya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s72-c/I_HEART_BK_2_1.jpg)
filamu ya "I SHOT BI KIDUDE" ya mwisho itakayoonyeshwa tamasha la ZIFF usiku wa Jumapili Julai 26 Saa 1:15 NGOME KONGWE, ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s320/I_HEART_BK_2_1.jpg)
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Filamu 419 kushindanishwa Tamasha la ZIFF
NA FESTO POLEA
JUMLA ya filamu 419 zitashindanishwa katika tamasha la Kimataifa la Filamu (ZIFF), lililopangwa kufanyika Julai 18 hadi 26 katika viwanja vya Ngome Kongwe, visiwani Zanzibar.
Kati ya filamu hizo, 25 ni filamu ndefu, 44 ni filamu fupi na 27 ni filamu za makala ‘documentary’.
Filamu hizo zimetoka katika nchi 38 na nyingi zimetoka nchini Ujerumani na kwa mara ya kwanza ZIFF imepokea filamu kutoka nchi ya Jamhuri ya Dominica ya nchi za Karibean.
Mkurugenzi wa tamasha hilo, Prof....
10 years ago
Dewji Blog18 May
Maisha Lab kuendesha warsha ya Uandishi wa filamu kwenye tamasha la ZIFF mwaka huu
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Tayari Maisha Lab ya Uganda wametangaza kupokea maombi ya wanaotaka kushiriki katika warsha maalum ya uandishi wa filamu itakayofanyika visiwani Zanzibar wakati wa tamasha la Filamu za Nchi za Majahazi maarufu kama ZIFF, kuanzia tarehe 18 hadi 25.
Hata hivyo, maombi toka kwa wanaotaka kushiriki katika warsha hii yameanza kupokewa na mwisho wa maombi ni tarehe 13 Juni, mwaka huu.
Warsha za Maisha Lab zimekuza vipaji vya waandishi wa filamu na wakurugenzi wa...