TAMASHA LA NCHI ZA JAHAZI 2015 KUFANYIKA NGOME KONGWE ZANZIBAR KUANZIA JULAI 18 HADI 26
Mjumbe wa bodi wa Tamasha la Jahazi, Fatma Allo (kulia), akizungumza katika mkutano na wadau wa filamu na wanahabari Dar es Salaam leo jioni kuhusu tamasha la nchi za jahazi litakalofanyika kuanzia Julai 18 hadi 26 mwaka huu Ngome Kongwe mjini Zanzibar.Kutoka kushoto ni Meneja wa Tamasha, Daniel Nyalusy na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tamasha la Jahazi, Martin Mhando.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tamasha la Jahazi, Martin Mhando (kushoto), akizungumza kuhusu tamasha hilo kubwa la jahazi. Kulia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s72-c/I_HEART_BK_2_1.jpg)
filamu ya "I SHOT BI KIDUDE" ya mwisho itakayoonyeshwa tamasha la ZIFF usiku wa Jumapili Julai 26 Saa 1:15 NGOME KONGWE, ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s320/I_HEART_BK_2_1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Filamu ya “I Shot Bi Kidude” kuonyeshwa tamasha la Ziff 2015 Jumapili hii ndani ya Ngome Kongwe, Zanzibar
‘Makala ya Kusisimua yenye matukio yenye hisia nzito.’
Andy Markowitz, Tovuti ya Muziki wa Filamu Music Film Web
‘Tafakari ya kusisimua ya urafiki usio wa kawaida kati ya Kijana Mtengenezaji wa filamu na diva wa Zanzibar mzee wa miaka 100 Zanzibar diva’ Garth Cartwright – mwandishi, “More Miles Than Money”Umbali mkubwa kuliko fedha”
‘Uwasilishaji wa wa nyota …iliyofifia na kuifanya ing’are upya’.
Martin Mhando, Mkurugenzi ZIFF
Nilimpiga Picha Bi Kidude “I Shot Bi Kidude”, ni makala mpya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s72-c/I_HEART_BK_2_1.jpg)
ZIFF KUONESHA filamu ya "I SHOT BI KIDUDE" usiku wa Jumapili Julai 26 Saa 1:15 NGOME KONGWE, Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s320/I_HEART_BK_2_1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Shirika la GPF laandaa kongamano kubwa la vijana la kujadili amani, kufanyika Zanzibar kuanzia julai 12, 2015
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe.
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/29.jpg)
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kongamano kubwa la vijana litakalofanyika Zanzibar kwa kipindi cha mwezi mzima kuanzia Julai 12 mwaka huu. Kongamano hilo litahudhuriwa na marais wastafu na viongozi maarufu. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa GPF nchini, Martha Nghambi na Mratibu wa...
10 years ago
VijimamboSHIRIKA LA GLOBAL PEACE FOUNDATION (GPF) LAANDAA KONGAMANO KUBWA LA VIJANA LA KUJADILI AMANI, KUFANYIKA ZANZIBAR KUANZIA JULAI 12, 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8tvOxinAP58/Vayp0mgnksI/AAAAAAABDD0/4dnT72HV-0k/s72-c/623.jpg)
DK.SHEIN ALIZINDUA TAMASHA LA 18 LA KIMATAIFA LA FILAMU LA NCHI ZA JAHAZI ZANZIBAR ( ZIFF )
![](http://1.bp.blogspot.com/-8tvOxinAP58/Vayp0mgnksI/AAAAAAABDD0/4dnT72HV-0k/s640/623.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g1LhqKraFfk/Vayp0LCaxEI/AAAAAAABDDs/oAgusYkI-i8/s640/625.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-A490uPlyAyY/Vayp0aUkqmI/AAAAAAABDDw/82rFtYW9ON8/s640/638.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T5pSVYjT3tg/Vayp1pAl-aI/AAAAAAABDEA/7B-oxqhsask/s640/643.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Pajero ya Makame Faki ilivyotikisa Ngome Kongwe tamasha la ZIFF
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
WAPENZI wa muziki wa mahadhi ya mwambao wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika hivi karibuni walijikuta wanapitiliza usiku wa manane kutokana na kukolea kwa muziki wa kidumbaki uliokuwa ukiporomoshwa na kundi la Sina Chuki, chini ya sauti ya zege Makame Faki.
Wakiwa wanaondoka na nyonga zao kwa taratibu na kwa namna ambavyo inafuatilika, Makame alikoleza na sauti yake na Pajero linanisumbua huku wapenzi wakipiga kelele ya kushangilia.
Muziki huu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Dq75gLB3mK0/VZRpQrxJWgI/AAAAAAAHmVA/-763h8m8pXE/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
WARSHA YA KISAYANSI KUHUSU HUDUMA ZA HALI YA HEWA KUPITIA MODELI YA ‘PRECIS’, KUANZIA TAREHE 29 JUNI HADI 3 JULAI 2015, DAR ES SALAAM, TANZANIA.
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Innocent Nganyagwa kutumbuiza tamasha la ZIFF 2014 usiku huu ndani ya ukumbi wa Mambo Club, Ngome Kongwe
Mwanamuziki Mkongwe wa Rege nchini, Innocent Nganyagwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na show yake kwenye tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo ndani ya ukumbi wa Mambo Club kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar.Kushoto Mtaalamu wa masuala ya habari ZIFF, Bw. Dave Ojay.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Baadhi ya wageni mbalimbali na waandishi wa habari wanaohuduria tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea kutimua vumbi visiwani Zanzibar.
Na. Mwandishi...