DKT. CHAULA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA UMOJA WA POSTA WA AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0NeGlPqYw8/Xu9pDkFCShI/AAAAAAALu1I/_H2i42iPymcskjisyzt2P500m9oPMe5mgCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG-Na.-1AAA-768x512.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt. Zainabu Chaula (wa kwanza kulia) akipata maelezo kutoka kwa msimamizi wa ujenzi wa jengo la ofisi za PAPU, Arusha, Mhandisi Hanington Kagiraki wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi huo. Anaesikiliza ni Naibu Katibu Mkuu wa Sekta ya Mawasiliano, Dkt. Jim Yonazi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (wa pili kulia) akisisitiza jambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCcmDCu8TEg/Xu0MlevPUyI/AAAAAAALur4/A3sKjVQL2lIxCRavJxO0Ovw6TBsyPC61gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picture%2B2%2B%25281%2529.png)
MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA UMOJA POSTA AFRIKA JIJINI ARUSHA.
Na:Vero Ignatus-Arusha.
Zaidi ya shilingi bilioni 38 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa lenye jumla ya ghorofa 17 ambalo linajengwa kwa ubia Kati ya Umoja wa Post Afrika (PAPU) na serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya mawasiliano Nchini (TCRA).
Ni miezi sita sasa tangu kuzinduliwa shughuki za ujenzi kwa kuwekewa jiwe la msingi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano mnamo januari 18 mwaka 2020 zoezi lililo ongozwa Mhandisi Isack Kamwelwe alie ambatana na viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
IGP MANGU AKAGUA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA POLISI MKOA WA MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6rnElGx5ZY/VcMcVPmtlRI/AAAAAAAHuek/rB-a2dllSGs/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA UCHAGUZI (NEC), LILILOPO NDEJENGWA, JIJINI DODOMA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasili kwenye Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, wakati alipoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, linalojengwa na Kikosi cha SUMA JKT, May 5, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QEkXuvOtyq4/Xuw3Qhzr3LI/AAAAAAALuhQ/8MkrLGO9xakigc5NHW75W4Jwedn7T6aRACLcBGAsYHQ/s72-c/P4.jpg)
KATIBU MKUU NZUNDA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC)JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QEkXuvOtyq4/Xuw3Qhzr3LI/AAAAAAALuhQ/8MkrLGO9xakigc5NHW75W4Jwedn7T6aRACLcBGAsYHQ/s640/P4.jpg)
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bw. Tixon Nzunda pamoja na timu aliyoongozana nayo wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC) lililopo eneo la Njedengwa Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/P7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU KAILIMA AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UHAMIAJI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gtoA1qqpvr0/Xl-x1LsgIBI/AAAAAAALg_4/mUGygevraUAs_Y6K8UAyDYDbmyiiBW6gACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9XLxZ6LHtd4/VnerKBUpDwI/AAAAAAAAlOU/FREt7u4RWoA/s72-c/Lakilaki%2B1%2B.jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA YA UMOJA WA MATAIFA JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9XLxZ6LHtd4/VnerKBUpDwI/AAAAAAAAlOU/FREt7u4RWoA/s640/Lakilaki%2B1%2B.jpg)
Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa akipata maelekezo ya ziada kuhusu ujenzi wa Mahakama ya Umoja wa Mataifa kwenye eneo la Lakilaki Jijini Arusha. Aneyetoa maelezo ni Afisa Mambo ya Nje na Mwansheria Bw. Elisha Suku. Kushoto kwa Waziri Mahiga ni Nd. Hamdouny Mansour, Katibu Tawala Msaidizi upande wa miundombinu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-w21yO4tNzVo/VnerL0tIfYI/AAAAAAAAlOs/-fa7tGFOxPw/s640/Lakilaki%2B5.jpeg)
11 years ago
Dewji Blog26 May
Tutashiriki katika ujenzi wa Afrika yenye umoja, mshikamano na miundombinu stahili — Benki ya Maendeleo Afrika
Katibu Mkuu Dkt.Servacius Likwelile akiwa na Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Kanda ya Afrika Mashariki Nd. Gabriel Negatu katika Mkutano uliofanyika katika ukumb wa Ecobank Jijini Kigali Rwanda.
Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akijadiliana jambo na mmoja wa washiriki wa Mkutano wa 49 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika unafanyika Kigali Rwanda. Pembeni ni mwa Waziri ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile na msaidizi wa Waziri Bw.Thomas Mabeba.
Waziri...
10 years ago
MichuziUMOJA WA AFRIKA (AU) WAWATUNUKU DKT. SALIM NA BALOZI MBITA TUZO ZA JUU ZA MWANA WA AFRIKA
Tuzo hiyo pia imetolewa kwa Balozi Mstaafu na Mpigania Uhuru Mahiri Barani Afrika, Balozi Hashim Mbita. Tuzo hizo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s72-c/004.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s640/004.jpg)