DKT KAWAMBWA ACHANGIA MISAADA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KkqtTpommKE/XrbNY_1zpnI/AAAAAAALpmA/fDTI97u6kYkYesjDUDYfPSJwpUE0L2n9ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0156-768x513.jpg)
……………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
Mbunge wa jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa, amegawa ndoo za maji kwaajili ya kunawa mikono, pamoja na sabuni katika maeneo mbalimbali ya kata ya Dunda, Nianjema na Magomeni ikiwa ni muendelezo wa mapambano dhidi ya maamukizi ya ugonjwa wa Corona.
Ziara hiyo iliyopitia vijiwe mbalimbali vya pikipiki na maeneo ya masoko, Dkt. Kawambwa aliwatahadharisha wafanyabiashara na watu wanaokuja katika maeneo hayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hA1izSRLkQ0/Xq5_PIdyCtI/AAAAAAAAM0A/DTAVajsgMhcDXJiriL0hSUOEV4YTdQwMQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B3.jpg)
SHIRIKA LA MWEDO LAKABIDHI MISAADA KUPAMBANA NA CORONA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hA1izSRLkQ0/Xq5_PIdyCtI/AAAAAAAAM0A/DTAVajsgMhcDXJiriL0hSUOEV4YTdQwMQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(kulia) walipokabidhi misaada mbalimbali ya usafi kwaajili ya kuunga mkono juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa corona,kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mwedo,Dk Eliamani Laltaika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7O161su5HQ4/Xq5_TRngLzI/AAAAAAAAM0E/ChGfYgsSCscRK9D5LLxQkE1cs83KtxZrACLcBGAsYHQ/s640/K%2B4.jpg)
Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(wa tatu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s72-c/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
JUMUIYA YA MABOHORA YAENDELEA KUPELEKA MISAADA HOSTELI YA MAGUFULI KUPAMBANA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s640/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nV743Ng5Hu4/XpQPTQJHdEI/AAAAAAALm1E/-LKX_nCKg0IMCPO0cT2t9yE6F0WyD96igCLcBGAsYHQ/s640/32846d15-3fce-43e2-9ca5-05f96b16cad0.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1cQ3nx51QrY/VO41nipMPMI/AAAAAAAHF3Q/smCT0tIgtvk/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
DKT. KAMANI ACHANGIA UJENZI SHULE YA NYAMAJASHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1cQ3nx51QrY/VO41nipMPMI/AAAAAAAHF3Q/smCT0tIgtvk/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vAmds1DR5x4/VO41n2V7ylI/AAAAAAAHF3M/0OXeDjV5HA0/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Jinsi viongozi wa Afrika wanavyojikata mishahara kupambana na corona
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Je msaada wa Jack Ma Afrika una umuhimu gani katika kupambana na janga la corona?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s72-c/004.jpg)
Dkt. Kawambwa azindua jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)
![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s1600/004.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha
Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.
Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tPJN3F0IlaA/VTwZIrTHpjI/AAAAAAAHTUI/z47uxcm8tTs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA BILIONI 1.1 KUKABILIANA NA CORONA COVID-19